Ndoa inanishinda, naomba mnishauri kisheria

Ndoa inanishinda, naomba mnishauri kisheria

Hapo ndipo penye tatizo lako!

Inaonekana unawapenda sana watoto wako kitu ambacho ni kizuri lakini wao wamechukulia huo kama udhaifu wako na wamepata pa kukukamatia!

Mazingira gani mabovu kama binadamu wengine wanaishi?

Piga moyo konde,
Saingine mtoto akililia wembe mpe!

Waache wakae hata Mwaka watakukumbuka na kutaka kurudi kama ni damu yako haitapotea!
Asante saaana kaka
 
Yaani acha, nina rafiki ameolewa kwasababu kijana alikazania kumuoa ni wale watu wameanza maisha pamoja mpaka wakafanikiwa....mama mkwe hakuwa amempenda kwasababu aliolewaga na mume wa kabila la huyo dada wakaachana na akamuachia watoto akalea...so hakutaka kijana aoe huko...huyo dada anateseka mpaka imefika mahali anawaza kuachana na mume...mama mkwe kahamia nyumbani na kila kitu cha familia ana control hadi nini kipikwe na kwenda sokoni...dada akivaa nguo pya mama mkwe anaitisha kikao kwamba mwali anafuja hela
Hapo mume nae hajitambui
Aise mbona haya mauzauza mie sikuyapata hakyanani vile ninge ..... We niache kabisa......
 
Ndoa ni ya wawili. Wakishaanza kuingialia wazazi wa pande zote. Lazima mavurugano yatakuwepo. Natamani wanawake wote wangekuwa kama mimi. Mimi tukikosana na mme wangu huwa yanaishia ndani. Nasali sana na kupata amani ya moyo. Pia humweleza mme wangu wazi wazi kama kuna kitu hakinipendezi kwake. Ongea na mkeo kwanza.Mwambie ndoa ni ya wawili. Wewe na yeye. Ajifunze na wewe ujifunze kumaliza migogoro yenu wawili. Pia ulikosea kumpeleka kwenu. Mrudishe mkeo kwako.

Wenye mental toughness kama wewe ni wachache sana

Wengi ni vitoto fulani hivi vinaona wazazi wao kama miungu watu

Kila kitu vinapeleka na wazazi wanageuka nuts!

Such a terrible way to waste marriages!
 
Yes n mnyakyusa

Ungeoaga Mnyakyusa mwenzio mkuu haya yote ya foreign DNA usingeyapata kabisa!

Mnge-match tu maana mna share same background!

Ila ulishafanyaga uamuzi jitahidi u-make it work aisee!

Sijaona kama nyie wawili mna tatizo lolote,waweke sawa hawa wazazi wakae mbali kabisa!
 
Kutoa ushauri kwa kusikiliza upande mmoja inaweza kupelekea tusishauri kwa usahihi kwa kiasi flani,

Hapo kuna multi causes iliyopelekea hali hiyo.

1 . Wewe mwenyewe unamchango
2. Mkeo
3. Mchepuko
Wazazi wenu

Huo mchepuko sasa hivi ndo anachochea kuni ile mbaya,

Yani sasa hivi anawmbiwa saa yoyote Kamba inakatika ili yeye afikiriwe kuingia ndani.

Michepuko mara nyingi siyo mizuri
 
Ushauri..
Weka kikao cha familia pande zote mbili muone mnatatuaje migogoro yenu na kama kuna uwezekano wa kusuluhisha..

Pakikosekana suluhu muache mkeo aende kwao, muache aende na watoto maana bado wadogo alafu utakuwa unawahudumia (kutoa matunzo)

Huyo mkeo anapewa kiburi na wazazi wake, ni ngumu sana kumrekebisha mwanamke wa hvyo maana anajua wazazi wake wapo watampokea na maisha yataenda.
Ushauri mzuri sana
 
Ustawi wa jamii wanahusika, kachukue barua ya utambulisho then kajisalimishe ofisi zilizokaribia nawewe unapoishi.
 
Baba mkwe/mama mkwe hana mamlaka ya kuingilia chochote kwenye familia yako. Na hata ikibidi kuja tu kwako lazima upewe taarifa na pia ujue anakuja kufanya nini.
Wewe hauja oa familia ya kwao na mkeo, bali wewe umeoa binti wa wakwe zako. Hivyo basi ukisha oa wewe hakuna yeyote mwenye mamlaka juu ya mkeo zaidi ya wewe.
Na hata baba mkwe wako akimuijia binti yake bila ridhaa yako, basi unaweza ukampa kichapo ama kumshtaki kama mvamizi
Dogo try to be serious!!!
 
Mkuu hivi nikuulize

Mkiwa kwenye migogoro hivi huwa mnafanya tendo la ndoa au ni kukaushiana tu??
Hahahahhaha hiyo hamu unaitoa wap?? Mtu anaapa atakukomoa?? Tangu mwez wa nane kila mtu kivyake
 
Back
Top Bottom