mwambyetete
Senior Member
- May 17, 2018
- 132
- 202
- Thread starter
-
- #141
Asante saaana kakaHapo ndipo penye tatizo lako!
Inaonekana unawapenda sana watoto wako kitu ambacho ni kizuri lakini wao wamechukulia huo kama udhaifu wako na wamepata pa kukukamatia!
Mazingira gani mabovu kama binadamu wengine wanaishi?
Piga moyo konde,
Saingine mtoto akililia wembe mpe!
Waache wakae hata Mwaka watakukumbuka na kutaka kurudi kama ni damu yako haitapotea!
Hapo mume nae hajitambuiYaani acha, nina rafiki ameolewa kwasababu kijana alikazania kumuoa ni wale watu wameanza maisha pamoja mpaka wakafanikiwa....mama mkwe hakuwa amempenda kwasababu aliolewaga na mume wa kabila la huyo dada wakaachana na akamuachia watoto akalea...so hakutaka kijana aoe huko...huyo dada anateseka mpaka imefika mahali anawaza kuachana na mume...mama mkwe kahamia nyumbani na kila kitu cha familia ana control hadi nini kipikwe na kwenda sokoni...dada akivaa nguo pya mama mkwe anaitisha kikao kwamba mwali anafuja hela
Ndoa ni ya wawili. Wakishaanza kuingialia wazazi wa pande zote. Lazima mavurugano yatakuwepo. Natamani wanawake wote wangekuwa kama mimi. Mimi tukikosana na mme wangu huwa yanaishia ndani. Nasali sana na kupata amani ya moyo. Pia humweleza mme wangu wazi wazi kama kuna kitu hakinipendezi kwake. Ongea na mkeo kwanza.Mwambie ndoa ni ya wawili. Wewe na yeye. Ajifunze na wewe ujifunze kumaliza migogoro yenu wawili. Pia ulikosea kumpeleka kwenu. Mrudishe mkeo kwako.
Unataka kumkopa maana kwa mikopo umeshindikana wewe [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Dear Diana. Huyo kwenye picha ndio wewe?
Hapana mkuu... Ni kujaribu kumsaidia kimawazo kutatua hii shida!Unataka kumkopa maana kwa mikopo umeshindikana wewe [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Aise .. [emoji848][emoji848][emoji848][emoji848]Yes n mnyakyusa
Yes n mnyakyusa
Ushauri mzuri sanaUshauri..
Weka kikao cha familia pande zote mbili muone mnatatuaje migogoro yenu na kama kuna uwezekano wa kusuluhisha..
Pakikosekana suluhu muache mkeo aende kwao, muache aende na watoto maana bado wadogo alafu utakuwa unawahudumia (kutoa matunzo)
Huyo mkeo anapewa kiburi na wazazi wake, ni ngumu sana kumrekebisha mwanamke wa hvyo maana anajua wazazi wake wapo watampokea na maisha yataenda.
Napigia msitari.Wenye mental toughness kama wewe ni wachache sana
Wengi ni vitoto fulani hivi vinaona wazazi wao kama miungu watu
Kila kitu vinapeleka na wazazi wanageuka nuts!
Such a terrible way to waste marriages!
Dogo try to be serious!!!Baba mkwe/mama mkwe hana mamlaka ya kuingilia chochote kwenye familia yako. Na hata ikibidi kuja tu kwako lazima upewe taarifa na pia ujue anakuja kufanya nini.
Wewe hauja oa familia ya kwao na mkeo, bali wewe umeoa binti wa wakwe zako. Hivyo basi ukisha oa wewe hakuna yeyote mwenye mamlaka juu ya mkeo zaidi ya wewe.
Na hata baba mkwe wako akimuijia binti yake bila ridhaa yako, basi unaweza ukampa kichapo ama kumshtaki kama mvamizi
Dogo try to be serious!!!
Wewe ni msukuma?Pole sana kaka umeoa mwanamke anayekucontrol, sioni mwisho mzuri wa hili jambo.
Nje ya mada, huyu mwanamke ni mchaga?
Mimi sio msukumaWewe ni msukuma?
Hata Kama, ila mke atakaemdharau mama yangu Hana sifa ya kuwa na mm
Hahahahhaha hiyo hamu unaitoa wap?? Mtu anaapa atakukomoa?? Tangu mwez wa nane kila mtu kivyakeMkuu hivi nikuulize
Mkiwa kwenye migogoro hivi huwa mnafanya tendo la ndoa au ni kukaushiana tu??