Chance ndoto
JF-Expert Member
- Mar 8, 2017
- 4,363
- 10,265
Umeshafunga uziAdamu na eva walifungishwa ndoa wapi? Na walikuwa na dini hipi ?
mbele za MunguAdamu na eva walifungishwa ndoa wapi? Na walikuwa na dini hipi ?
Mungu aliwafukuza baada ya kujitambua wapo uchi na unafahamu, ndoa inapofungwa mnapewa baraka ila mungu alitoa laana "mwanaume utakula kwa jasho na mwanamke utazaa kwa uchungu".mbele za Mungu
Baraza la MAULAMAA haliitambui hiyo ndoampka kubdli dini tayar ushaikubali Sheria ya Kuoa mke1.
Wapuuzi sana wamekaa chini na kujitungia kuoa mwisho mke mmoja tumpka kubdli dini tayar ushaikubali Sheria ya Kuoa mke1.
Hapo abadili dini halafu alindindishie kanisa abaki na wake zake hao hao wawiliUtatakiwa kuchagua mmoja tu mwingine anakua mchepuko asiyetambuliwa na kanisa
Hapo abadili dini halafu alindindishie kanisa abaki na wake zake hao hao wawili
Iwe ni men made au Gods plan huu utaratibu umesaidia wengi.Wapuuzi sana wamekaa chini na kujitungia kuoa mwisho mke mmoja tu
Huo ni mtazamo wako wako nchi isingetosha ina maana watu hawafi?Kama ni hivyo nchi za kiarabu pasingetosha.Iwe ni men made au Gods plan huu utaratibu umesaidia wengi...
Cha muhimu yeye na hao wakeze watajionaje the rest ni blablaSio mbaya maana watamtenga. Hivyo ataishi kwa tabu sana. Uislam watamuona msaliti,wakristo watamuona ndumila kuwili,wapagani hawatamuelewa
Kwani Nabii Suleiman alikuwa na wake wangapi na masulia wangapi?Hapo abadili dini halafu alindindishie kanisa abaki na wake zake hao hao wawili