David Harvey
JF-Expert Member
- Jul 17, 2014
- 2,894
- 6,020
Sio mbaya maana watamtenga. Hivyo ataishi kwa tabu sana. Uislam watamuona msaliti,wakristo watamuona ndumila kuwili,wapagani hawatamuelewa
Hivi ukitengwa na kanisa unapungukiwa na nini? Kwani kanisa linanilisha?Sio mbaya maana watamtenga. Hivyo ataishi kwa tabu sana. Uislam watamuona msaliti,wakristo watamuona ndumila kuwili,wapagani hawatamuelewa
Viongozi wa dini ilo hawataki kulijua watakuambia ilo ni agano la kaleKwani Nabii Suleiman alikuwa na wake wangapi na masulia wangapi?
Kuzaa siyo tatizo tena hao wachache tatizo ni namna ya kui-handle familia iwe bora kuanzia kwenye afya ya hao wake wakati wa kujifungua,watoto wasome vizuri,wale vizuri walale pazuri wavae vizuri etc.Huo ni mtazamo wako wako nchi isingetosha ina maana watu hawafi?Kama ni hivyo nchi za kiarabu pasingetosha.
Wazee wa zamani mke mmoja anazalishwa watoto 15 na life linasonga,kwa sasa hivi hata uwe na wake 4 hauwezi kufikisha watoto 15.
Hivi ukitengwa na kanisa unapungukiwa na nini? Kwani kanisa linanilisha?