Ndoa ndio kitu bora kabisa Mungu alichowahi kumpa mwanadamu

matunduizi

JF-Expert Member
Joined
Aug 20, 2018
Posts
7,968
Reaction score
19,368
Kukatia tamaa suala la ndoa, ni kukatia tamaa sababu ya kuishi.

Mungu kwa akili yake timamu alisema si vyema mwanaume akae peke yake.
Shetani ndiye amebrainwash watu kuona ni vyema kuachika, kuwa single mama/baba, kupiga na kuacha, punyeto, na lgbtq.

Usikatishe tamaa. Ndoa ni kitu bora na safi kabisa. Ukitaka kujua jifunze kwa waliofaulu ndoa zao sio waliofeli ambao ndio wengi.
 
We oa usilazimishe wengne waoe bhana
 
Uzi muhimu sana huu, kumekua na wimbi la wapotoshaji kuhusu ndoa na kampeni za kukataa ndoa, hizo zote ni agenda za shetani

Ndoa ni ibada
 
Ni dini gani mkuu inasema hivi ?
 
Uzi muhimu sana huu, kumekua na wimbi la wapotoshaji kuhusu ndoa na kampeni za kukataa ndoa, hizo zote ni agenda za shetani

Ndoa ni ibada
Wewe ni mkristo au muislam ?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…