Watu wengi wanaingia kwenye ndoa kwa matarajio kuwa maisha ya ndoa ni raha mustarehe. Mnaelewana na mwenza wako nae atakua rafiki yako.
Ukweli ni kuwa, ndoa ni box tupu, unahitaji kuwekeza ili uvune. Hakuna mapenzi kwenye ndoa bali ni watu wawili wanaopendana wanaingia kwenye ndoa. Ingiza upendo kwenye box la ndoa. Wanandoa wajifunze kujitoa kwaajili ya mwingine.
Mwenzako anapojitoa kwaajili yako, mpe asante, muonyeshe kuwa umeguswa moyoni kwa alicho kifanya. Kujitoa inaweza kuwa kusaidiana wakati wa matatizo.
Usichote sana kutoka kwenye box la ndoa, hakikisha lina akiba ya kutosha.
Ukweli ni kuwa, ndoa ni box tupu, unahitaji kuwekeza ili uvune. Hakuna mapenzi kwenye ndoa bali ni watu wawili wanaopendana wanaingia kwenye ndoa. Ingiza upendo kwenye box la ndoa. Wanandoa wajifunze kujitoa kwaajili ya mwingine.
Mwenzako anapojitoa kwaajili yako, mpe asante, muonyeshe kuwa umeguswa moyoni kwa alicho kifanya. Kujitoa inaweza kuwa kusaidiana wakati wa matatizo.
Usichote sana kutoka kwenye box la ndoa, hakikisha lina akiba ya kutosha.