Ndoa ni trading, ndoa ni contract, ndoa ni partnership. Wanawake wapo makini sana kujilinda wasipate hasara kwenye biashara /mkataba wa ndoa

Ndoa ni trading, ndoa ni contract, ndoa ni partnership. Wanawake wapo makini sana kujilinda wasipate hasara kwenye biashara /mkataba wa ndoa

Wanawake wengi wanaoitafuta sana ndoa ama Wanaopigania sana waolewe kwa ndoa wengi wao hutanguliza ubinafsi wao mbele, huwa- judge wanaume wanaokuja kuwachumbia Kwa kigezo cha Uchumi na hadhi zao badala ya kuangalia upendo wa wanaume wanaokuja kuwachumbia.
Hii huwafanya watumie muda mrefu na Wakati mwingine hufikia kuchanganyikiwa.
Kinachounda ndoa NI Upendo sio uchumi wa mwenza iwe Mwanamke au Mwanaume.
Upendo ndio huleta yote ndani ya Ndoa,
Lakini wanyonyaji kwao upendo sio lolote, wanaamini uchumi ndio upendo. Mwishowe wakiingia ndoani huona mambo yakiwa tofauti
Haya mambo yako kote sikuhizi,
Moja ya ex aliniacha kisa kapata dada mambo safi,akarogwa vzr,bahati nzuri mama ake Yuko vzr,alimuokoa kutoka Kwa huyo mdada😛..
Hakukoma,kwenye kuoa ss,akakutana na mhasibu wa TRA (kabila pendwa linalotanguliza pesa) akaoa kinachoendelea sahivi,Kawa mlevi, for the 1st time nimeshangaa anavuta na bangi 😳(kaka msomi,kaishi mpk ng'ambo Kwa miaka kadhaa)
Famchezo nn
Mke kamwambia naenda Marekani kusoma,kasepa zake na mtt wao 1,mke hajamuachia baba kampeleka kwa mama ake!

Anakiri alijua mwanamke mwenye kazi watafanya maisha na kilichopo ni vice versa
 
Hongereni sana wanawake. Ukweli mchungu kwa wanaume wote kwamba, Hawa viumbe wa kike hili game la TRADING are better off than men.

NDOA NI MKATABA WA KISHERIA
Marriage is a legally binding contract. What fool doesn’t want to know the other party’s strengths? Kabla hajasaini mkataba huo. Mara nyingi jibu kuhusi huyo fool anakuwa ni mwanaume.

Mwanamke anaweza kuwa Low Value woman, jobless, elimu yake ndogo, anatoka familia yenye matatizo kibao. Past yake mbovu, papuchi mileage imeenda, Ila kamwe hakubali ofa ya kuolewa na mwanaume ambaye ni average man ama low value man.

Yaani wanawake huwa wanacheki ku gain more value from marriage contract,I can see they're Trading low value for high value. How can you exchange cheap value for higher valuable.

Iam repeating ladies are better off of relationship TRADING contract.

Check urefu wake na urefu anaotaka mtu wake awe nao.

Check elimu na elimu ambayo anataka mtu wake awe nayo.

Check umri wake na umri amtakaye,

Check employment status na anayotaka from kwa mtu wake.

Na kwa kuhusiana na kids akapigilia msumari kabisa.

Yanani hakuna sehemu alipotaka kushuka kabisa yaani apate hasara.

Yaani narudi Tena Hawa viumbe hili game la TRADING are better off than men. Yaani by nature are risk averse occurred in marriage,so they Avoid them by analysing very carefully so that they can't incur loss at the future once they sign so called the contract of the future difference.

Yaani sie wanaume wengi huwa tunacheki uzuri amasuala la ngono tu Basi. Wanawake wote huwa wanacheki faida za hiyo ndoa kwanza.

Yani ladies huwa wanapiga hesabu za Probability kwanza, they know it naturally ili ku avoid risk or incur small loss/risk. They're risk manager by nature.

Wana calculate odds of Probability that favour their choices if it's around 75% wanakubali dili wanasaini contract ama anakuvulia chupi.
Mkuu hujanitendea haki kabisa. Unge refer andiko langu.sema ndio ivyo sijaweka hatimiliki. Sio mbaya Kama umenisoma na kuamua kulifungulia Uzi andiko langu ama mchango wangu. I really appreciate Ila najua huwa natoa elimu kwa jamii nzima
 
Kazi yake ni kufanya kazi za nyumba na kuzaa

Sent using Jamii Forums mobile app

Getrude lwakatare kazaa watoto sita kwenye ndoa yake... na bado hakuwa tegemezi kwa mumewe amefanya kazi na biashara na kuwa mwanamke tajiri kuliko wote Tanzania.

CEO wa NMB Bank Ruth Zaipuna ameolewa na amezaa watoto wanne kwenye ndoa yake. Ila bado ameweza kufanya kazi yenye presha PWC kwa miaka kibao.. yaani anabeba mimba, anazaa , analea, usiku anakesha kubembeleza mtoto na asubuhi anaamka mapema anawai PWC kufanya majukumu yake ya auditing

Wanawake wa kisasa kina mama juniour wanazaa mtoto mmoja ama wawili tu tena kwa operation. Hao watoto wawili ndio wamfanye akae nyumbani golikipa na kula jasho la mumewe kila siku.

Kuzaa sio excuse kwamba uwe mzigo kwenye ndoa.. kwenye trading unakuwa unamnyonya mumeo.

kwa Afrika unapooa ni kwamba automatically umejitengenezea wategemezi wa kutosha. Kwa baadhi ya familia zisizo na aibu upande wa mke wanaweza kuhamia kwako na kujikuta unabeba majukumu mazito. Mimi nashauri kila mtu atumie akili yake vizuri kabla ya kujiingiza kwenye ndoa. Fuatilia vizuri familia ya mke wako ili upate tathmini nzima ya unapokwenda kuoa.
 
Hongereni sana wanawake. Ukweli mchungu kwa wanaume wote kwamba, Hawa viumbe wa kike hili game la TRADING are better off than men.

NDOA NI MKATABA WA KISHERIA
Marriage is a legally binding contract. What fool doesn’t want to know the other party’s strengths? Kabla hajasaini mkataba huo. Mara nyingi jibu kuhusi huyo fool anakuwa ni mwanaume.

Mwanamke anaweza kuwa Low Value woman, jobless, elimu yake ndogo, anatoka familia yenye matatizo kibao. Past yake mbovu, papuchi mileage imeenda, Ila kamwe hakubali ofa ya kuolewa na mwanaume ambaye ni average man ama low value man.

Yaani wanawake huwa wanacheki ku gain more value from marriage contract,I can see they're Trading low value for high value. How can you exchange cheap value for higher valuable.

Iam repeating ladies are better off of relationship TRADING contract.

Check urefu wake na urefu anaotaka mtu wake awe nao.

Check elimu na elimu ambayo anataka mtu wake awe nayo.

Check umri wake na umri amtakaye,

Check employment status na anayotaka from kwa mtu wake.

Na kwa kuhusiana na kids akapigilia msumari kabisa.

Yanani hakuna sehemu alipotaka kushuka kabisa yaani apate hasara.

Yaani narudi Tena Hawa viumbe hili game la TRADING are better off than men. Yaani by nature are risk averse occurred in marriage,so they Avoid them by analysing very carefully so that they can't incur loss at the future once they sign so called the contract of the future difference.

Yaani sie wanaume wengi huwa tunacheki uzuri amasuala la ngono tu Basi. Wanawake wote huwa wanacheki faida za hiyo ndoa kwanza.

Yani ladies huwa wanapiga hesabu za Probability kwanza, they know it naturally ili ku avoid risk or incur small loss/risk. They're risk manager by nature.

Wana calculate odds of Probability that favour their choices if it's around 75% wanakubali dili wanasaini contract ama anakuvulia chupi.
Ndugu una akili mingi sana. Hongera[emoji122][emoji122][emoji122]
 
Wanawake wengi wanaoitafuta sana ndoa ama Wanaopigania sana waolewe kwa ndoa wengi wao hutanguliza ubinafsi wao mbele, huwa- judge wanaume wanaokuja kuwachumbia Kwa kigezo cha Uchumi na hadhi zao badala ya kuangalia upendo wa wanaume wanaokuja kuwachumbia.
Hii huwafanya watumie muda mrefu na Wakati mwingine hufikia kuchanganyikiwa.
Kinachounda ndoa NI Upendo sio uchumi wa mwenza iwe Mwanamke au Mwanaume.
Upendo ndio huleta yote ndani ya Ndoa,
Lakini wanyonyaji kwao upendo sio lolote, wanaamini uchumi ndio upendo. Mwishowe wakiingia ndoani huona mambo yakiwa tofauti
Kila mtu ashinde mechi zake,asiyeelewa Hekima iliyomo kwenye andiko lako hili ataelewa siku masikio yake yakitoka damu
 
Hongereni sana wanawake. Ukweli mchungu kwa wanaume wote kwamba, Hawa viumbe wa kike hili game la TRADING are better off than men.

NDOA NI MKATABA WA KISHERIA
Marriage is a legally binding contract. What fool doesn’t want to know the other party’s strengths? Kabla hajasaini mkataba huo. Mara nyingi jibu kuhusi huyo fool anakuwa ni mwanaume.

Mwanamke anaweza kuwa Low Value woman, jobless, elimu yake ndogo, anatoka familia yenye matatizo kibao. Past yake mbovu, papuchi mileage imeenda, Ila kamwe hakubali ofa ya kuolewa na mwanaume ambaye ni average man ama low value man.

Yaani wanawake huwa wanacheki ku gain more value from marriage contract,I can see they're Trading low value for high value. How can you exchange cheap value for higher valuable.

Iam repeating ladies are better off of relationship TRADING contract.

Check urefu wake na urefu anaotaka mtu wake awe nao.

Check elimu na elimu ambayo anataka mtu wake awe nayo.

Check umri wake na umri amtakaye,

Check employment status na anayotaka from kwa mtu wake.

Na kwa kuhusiana na kids akapigilia msumari kabisa.

Yanani hakuna sehemu alipotaka kushuka kabisa yaani apate hasara.

Yaani narudi Tena Hawa viumbe hili game la TRADING are better off than men. Yaani by nature are risk averse occurred in marriage,so they Avoid them by analysing very carefully so that they can't incur loss at the future once they sign so called the contract of the future difference.

Yaani sie wanaume wengi huwa tunacheki uzuri amasuala la ngono tu Basi. Wanawake wote huwa wanacheki faida za hiyo ndoa kwanza.

Yani ladies huwa wanapiga hesabu za Probability kwanza, they know it naturally ili ku avoid risk or incur small loss/risk. They're risk manager by nature.

Wana calculate odds of Probability that favour their choices if it's around 75% wanakubali dili wanasaini contract ama anakuvulia chupi.
In short,wanawake ni wezi -smarts.
 
Back
Top Bottom