Ndoa ni uvumilivu lakini inaweza kukaribisha umauti.

Ndoa ni uvumilivu lakini inaweza kukaribisha umauti.

Hazard CFC

JF-Expert Member
Joined
Apr 7, 2015
Posts
16,627
Reaction score
38,689
Leo nimepokea msg kutoka kwa dada mmoja(rafiki wa karibu) akaniambia nitune clouds fm saa sita na nusu nisikilize mkasa uliopo..
Hizi ndoa zina balaa kubwa sana,kwa wale waliosikiliza najua watakubaliana na mimi lakini kama hujasikiliza ngoja nikupe hint kidogo-
Kwa kifupi mkasa upo hivi..kuna wanandoa wenye mtoto mmoja,kutokana na maelezo ya majirani wanandoa hao walikua ni watu wa ugomvi kila siku,kama miezi miwili iliyopita mwanaume alipiga simu kwa ndugu wa mke akitoa taarifa kuwa ana siku ya nne mkewe hajarudi nyumbani na akaonyesha msg aliyotumiwa na mkewe kuwa "naondoka nakuacha na mwanao naenda kufanya maisha yangu nimechoka".kesi ikafika polisi uchunguzi ukafanyika na wakabaini mzeebaba ndio kamuuwa mkewe hata ile msg mzeebaba alijitumia mwenyewe maana uchunguzi ulionyesha simu zilikua karibu sana wakati huo ujumbe unatumwa, iligundulika pia jamaaa alimchoma kwa magunia mawili ya mkaa mkewe akafukia majivu juu akamwaga zege.

Wanawake vumilieni ndoa zenu lakini ukiona mwenzako hasomeki rudi kwenu,uvumilivu unaweza kukupa umauti au kilema cha maisha.
 
Leo nimepokea msg kutoka kwa dada mmoja(rafiki wa karibu) akaniambia nitune clouds fm saa sita na nusu nisikilize mkasa uliopo..
Hizi ndoa zina balaa kubwa sana,kwa wale waliosikiliza najua watakubaliana na mimi lakini kama hujasikiliza ngoja nikupe hint kidogo-
Kwa kifupi mkasa upo hivi..kuna wanandoa wenye mtoto mmoja,kutokana na maelezo ya majirani wanandoa hao walikua ni watu wa ugomvi kila siku,kama miezi miwili iliyopita mwanaume alipiga simu kwa ndugu wa mke akitoa taarifa kuwa ana siku ya nne mkewe hajarudi nyumbani na akaonyesha msg aliyotumiwa na mkewe kuwa "naondoka nakuacha na mwanao naenda kufanya maisha yangu nimechoka".kesi ikafika polisi uchunguzi ukafanyika na wakabaini mzeebaba ndio kamuuwa mkewe hata ile msg mzeebaba alijitumia mwenyewe maana uchunguzi ulionyesha simu zilikua karibu sana wakati huo ujumbe unatumwa, iligundulika pia jamaaa alimchoma kwa magunia mawili ya mkaa mkewe akafukia majivu juu akamwaga zege.

Wanawake vumilieni ndoa zenu lakini ukiona mwenzako hasomeki rudi kwenu,uvumilivu unaweza kukupa umauti au kilema cha maisha.
Duu jamaa kafanya ukatili mkubwa sana. Kama alimchoka si angemuacha tu!?
 
Leo nimepokea msg kutoka kwa dada mmoja(rafiki wa karibu) akaniambia nitune clouds fm saa sita na nusu nisikilize mkasa uliopo..
Hizi ndoa zina balaa kubwa sana,kwa wale waliosikiliza najua watakubaliana na mimi lakini kama hujasikiliza ngoja nikupe hint kidogo-
Kwa kifupi mkasa upo hivi..kuna wanandoa wenye mtoto mmoja,kutokana na maelezo ya majirani wanandoa hao walikua ni watu wa ugomvi kila siku,kama miezi miwili iliyopita mwanaume alipiga simu kwa ndugu wa mke akitoa taarifa kuwa ana siku ya nne mkewe hajarudi nyumbani na akaonyesha msg aliyotumiwa na mkewe kuwa "naondoka nakuacha na mwanao naenda kufanya maisha yangu nimechoka".kesi ikafika polisi uchunguzi ukafanyika na wakabaini mzeebaba ndio kamuuwa mkewe hata ile msg mzeebaba alijitumia mwenyewe maana uchunguzi ulionyesha simu zilikua karibu sana wakati huo ujumbe unatumwa, iligundulika pia jamaaa alimchoma kwa magunia mawili ya mkaa mkewe akafukia majivu juu akamwaga zege.

Wanawake vumilieni ndoa zenu lakini ukiona mwenzako hasomeki rudi kwenu,uvumilivu unaweza kukupa umauti au kilema cha maisha.
Huyo mwanaume ni kabila gani?
 
He's such a monster.
Kuvumilia tunavumilia zaidi kwa ajili ya watoto. Hapo unakuta mwanaume anakwambia kama unaondoka ondoka mwenyewe niachie watoto wangu.
Hana uwezo wa kulea watoto na anaweza akaoa mke mwingine, na kama tunavyojua mama wa kambo walivyo.

Kama mama unawaza kabisa watoto wako watateseka unaamua kuvumilia kila kitu kwa sababu ya watoto wako. Matokeo yake ndiyo huwa namna hiyo. Hamna kitu kinachozidi upendo wa mama kwa mtoto.
 
He's such a monster.
Kuvumilia tunavumilia zaidi kwa ajili ya watoto. Hapo unakuta mwanaume anakwambia kama unaondoka ondoka mwenyewe niachie watoto wangu.
Hana uwezo wa kulea watoto na anaweza akaoa mke mwingine, na kama tunavyojua mama wa kambo walivyo.

Kama mama unawaza kabisa watoto wako watateseka unaamua kuvumilia kila kitu kwa sababu ya watoto wako. Matokeo yake ndiyo huwa namna hiyo. Hamna kitu kinachozidi upendo wa mama kwa mtoto.
Upo sahihi mamiii...hapo najiuliza dogo akiwa mkubwa ataipokea je hii story ya wazazi wake
 
Pindi unapokubali kuingia kwenye mahusiano/ndoa jua kabisa hauwezi kuishi kama uko peke yako.

Ukitaka kuwa na maisha yako kaa mbali na mahusiano. Vinginevyo lazima uvumilivu ukuhusu.

Lakini hii chuki ya kufikia kuua mtu ni ya kiwango cha hali ya juu.
 
Daaah mambo mazito haya. Ila damu ya mtu haijawahi kuacha muuawaji salama hata ichukue miaka 100. Lazima tu kunasehemu muuwaji ataacha kaushahidi ambako katamuumbua mwisho wa siku.
Ndoa ukiona huielewi bora uondoke in one piece otherwise utauridishwa kwenu ukiwa ndani ya box.
 
Back
Top Bottom