Hazard CFC
JF-Expert Member
- Apr 7, 2015
- 16,627
- 38,689
- Thread starter
- #81
Haya mambo ni mazuri kufanya ila sio kufanyiwaMuosha huoshwa
Ss anachanganyikiwa nin?.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Haya mambo ni mazuri kufanya ila sio kufanyiwaMuosha huoshwa
Ss anachanganyikiwa nin?.
Duniani kuna cannibals kumbuka.Hata maamuzi ya huyo jamaa aliembanika mke wake tuyaheshimu??
Kwani alikosa mbuzi wakuchoma??
Ni kwel mkuuAnaglizo langu kwa watoto wa kike
...... Mwanaume sio mwenzako kwa maana hamfanani jinsia na wala hamfanani mamlaka. Mwanaume anachukulia very serious swala la kugegedana na mtu mwingine ni heri utumie pesa yake vibaya au uwe mzembe hilo ataweza kukusamehe na kukubali kukupa nafasi ya kujirekebisha ila sio u'cheat aisee.... Mwanaume akijua umelala na mwanaume mwingine na ulifanya kwa kudhamiria dada yangu sahau kusamehewa, ataliweka akili miaka yote mnaishi pamoja na hata kuwa na imani na wewe popote atapokuona ukiongea na jinsia ya kiume.....
Kweli mkuu..hata mimi nilishasema kosa hilo sitolisamehe kamwe,ila kuuwa sio suluhisho unamrudisha tu kwaoSio wanaume wote wanaweza kuvumilia kuchapiwa, matukio mengi ambayo yamesababisha mke kupewa kichapo kitakatifu au hata mauwaji toka kwa mume huwa yanatokana na uchepukaji wa mke. Mume hata akikusamehe huwa anaondoa thamani ya mke pale anapobaini kuwa uliwahi kuchepuka. Hii ni tofauti na wanawake ambao wanaumia na kisha kuja kusahau.
Nyie hamnyanyaswi bwanaNa wanaume?
AjikazeHaya mambo ni mazuri kufanya ila sio kufanyiwa
Yaani hiyo story nimesikiliza jana na leo wamemalizia ila huyu mkaka ni katili mno kamkatili dada wa watu jamani hata kama ni maugomvi jifunzeni kumuacha mtu aende hata kama mmetoka mbali
HahahaLeo nimepokea msg kutoka kwa dada mmoja(rafiki wa karibu) akaniambia nitune clouds fm saa sita na nusu nisikilize mkasa uliopo..
Hizi ndoa zina balaa kubwa sana,kwa wale waliosikiliza najua watakubaliana na mimi lakini kama hujasikiliza ngoja nikupe hint kidogo-
Kwa kifupi mkasa upo hivi..kuna wanandoa wenye mtoto mmoja,kutokana na maelezo ya majirani wanandoa hao walikua ni watu wa ugomvi kila siku,kama miezi miwili iliyopita mwanaume alipiga simu kwa ndugu wa mke akitoa taarifa kuwa ana siku ya nne mkewe hajarudi nyumbani na akaonyesha msg aliyotumiwa na mkewe kuwa "naondoka nakuacha na mwanao naenda kufanya maisha yangu nimechoka".kesi ikafika polisi uchunguzi ukafanyika na wakabaini mzeebaba ndio kamuuwa mkewe hata ile msg mzeebaba alijitumia mwenyewe maana uchunguzi ulionyesha simu zilikua karibu sana wakati huo ujumbe unatumwa, iligundulika pia jamaaa alimchoma kwa magunia mawili ya mkaa mkewe akafukia majivu juu akamwaga zege.
Wanawake vumilieni ndoa zenu lakini ukiona mwenzako hasomeki rudi kwenu,uvumilivu unaweza kukupa umauti au kilema cha maisha.
Leo nimepokea msg kutoka kwa dada mmoja(rafiki wa karibu) akaniambia nitune clouds fm saa sita na nusu nisikilize mkasa uliopo..
Hizi ndoa zina balaa kubwa sana,kwa wale waliosikiliza najua watakubaliana na mimi lakini kama hujasikiliza ngoja nikupe hint kidogo-
Kwa kifupi mkasa upo hivi..kuna wanandoa wenye mtoto mmoja,kutokana na maelezo ya majirani wanandoa hao walikua ni watu wa ugomvi kila siku,kama miezi miwili iliyopita mwanaume alipiga simu kwa ndugu wa mke akitoa taarifa kuwa ana siku ya nne mkewe hajarudi nyumbani na akaonyesha msg aliyotumiwa na mkewe kuwa "naondoka nakuacha na mwanao naenda kufanya maisha yangu nimechoka".kesi ikafika polisi uchunguzi ukafanyika na wakabaini mzeebaba ndio kamuuwa mkewe hata ile msg mzeebaba alijitumia mwenyewe maana uchunguzi ulionyesha simu zilikua karibu sana wakati huo ujumbe unatumwa, iligundulika pia jamaaa alimchoma kwa magunia mawili ya mkaa mkewe akafukia majivu juu akamwaga zege.
Wanawake vumilieni ndoa zenu lakini ukiona mwenzako hasomeki rudi kwenu,uvumilivu unaweza kukupa umauti au kilema cha maisha.