Ndoa ni uvumilivu lakini inaweza kukaribisha umauti.

Ndoa ni uvumilivu lakini inaweza kukaribisha umauti.

He's such a monster.
Kuvumilia tunavumilia zaidi kwa ajili ya watoto. Hapo unakuta mwanaume anakwambia kama unaondoka ondoka mwenyewe niachie watoto wangu.
Hana uwezo wa kulea watoto na anaweza akaoa mke mwingine, na kama tunavyojua mama wa kambo walivyo.

Kama mama unawaza kabisa watoto wako watateseka unaamua kuvumilia kila kitu kwa sababu ya watoto wako. Matokeo yake ndiyo huwa namna hiyo. Hamna kitu kinachozidi upendo wa mama kwa mtoto.
Dah, umeandika kwa hisia sana....sijui why tumekuwa wakatili hivi....si angeondoka amwache hapo ...mali hutafutwa ...
 
madaa inauzito sana (kifo) mleta mada ametoa tu kisa ila hajaeleza hata sababu moja mm nikarizika na hao walikuwa wanandoa means walianza uchumba wakaona wanafaana wakaamua kufunga ndoa haitoshi wakazaa kbs iweje jamaa achuke maamuzi ya kumuuwa mtu aliyempenda tn mkewe kunakitu nyuma ya pazia mtoa mada jazia nyamanyama
 
Ni hatari kuchukua sample ya ndoa moja na kukonkludi kuwa ndoa zote ziko kwa mtindo huo.

Ukweli ni kwamba ndoa nyingi ziko salama sana kulinganisha na chache sana zenye matatizo.
Umenena vyema we Mzee.

Na isitoshe mpaka kufikia kutoa/na roho mara nyingi huwa kunakuwepo na viashiria ambavyo Jamii huvipuuzia...
 
madaa inauzito sana (kifo) mleta mada ametoa tu kisa ila hajaeleza hata sababu moja mm nikarizika na hao walikuwa wanandoa means walianza uchumba wakaona wanafaana wakaamua kufunga ndoa haitoshi wakazaa kbs iweje jamaa achuke maamuzi ya kumuuwa mtu aliyempenda tn mkewe kunakitu nyuma ya pazia mtoa mada jazia nyamanyama
Mkuuu najua kuna makubwa nyuma ya pazia ila hayajawekwa wazi.wamechambua yale yasioyeweza kuiingilia kes husika na kurusha heweni
 
Sio wanaume wote wanaweza kuvumilia kuchapiwa, matukio mengi ambayo yamesababisha mke kupewa kichapo kitakatifu au hata mauwaji toka kwa mume huwa yanatokana na uchepukaji wa mke. Mume hata akikusamehe huwa anaondoa thamani ya mke pale anapobaini kuwa uliwahi kuchepuka. Hii ni tofauti na wanawake ambao wanaumia na kisha kuja kusahau.
 
Umenena vyema we Mzee.

Na isitoshe mpaka kufikia kutoa/na roho mara nyingi huwa kunakuwepo na viashiria ambavyo Jamii huvipuuzia...
Yeah... kuna ndoa zinakuwa beyond repair lakini wengine wanakomaa tu. Hapo mara nyingi misiba hutamalaki. Kibaya wanaume hawajui kutengeneza perfect crime... wanawake wanaua na hakuna anayejua... kifo cha taratiiibu... Na siku unazikwa wanazuga kuzimia kwenye jeneza/kaburi
 
madaa inauzito sana (kifo) mleta mada ametoa tu kisa ila hajaeleza hata sababu moja mm nikarizika na hao walikuwa wanandoa means walianza uchumba wakaona wanafaana wakaamua kufunga ndoa haitoshi wakazaa kbs iweje jamaa achuke maamuzi ya kumuuwa mtu aliyempenda tn mkewe kunakitu nyuma ya pazia mtoa mada jazia nyamanyama
ni bora jamaa angejiua mwenyew kuliko kukatisha uhai wa mtu
 
Ni hatari kuchukua sample ya ndoa moja na kukonkludi kuwa ndoa zote ziko kwa mtindo huo.

Ukweli ni kwamba ndoa nyingi ziko salama sana kulinganisha na chache sana zenye matatizo.
Naona jamii yetu leo inatengeneza mtazamo kuwa ni heri watoto wa kike na wa kiume watumie maisha yao yote wakiishi maisha ya kifuska kwa kujitafutia maisha binafsi na kugegedana kama mbwa na kuzaa zaa watoto hivyo hovyo kama sungura bila uelekeo eti tu kwasababu tunakwepa mifarakano ndani ya ndoa.

Mbona mazuri ya ndoa hatuyaongelei ila kutwa tunazungumzia mabaya ya ndoa. Sasa hawa unaweza kuta wana maugomvi yao ambayo walitakiwa wayasuluhishe ila sababu ya viburi na kuvimbiana matokeo ndio yamekuwa hivyo.
 
Naona jamii yetu leo inatengeneza mtazamo kuwa ni heri watoto wa kike na wa kiume watumie maisha yao yote wakiishi maisha ya kifuska kwa kujitafutia maisha binafsi na kugegedana kama mbwa na kuzaa zaa watoto hivyo hovyo kama sungura bila uelekeo eti tu kwasababu tunakwepa mifarakano ndani ya ndoa.

Mbona mazuri ya ndoa hatuyaongelei ila kutwa tunazungumzia mabaya ya ndoa. Sasa hawa unaweza kuta wana maugomvi yao ambayo walitakiwa wayasuluhishe ila sababu ya viburi na kuvimbiana matokeo ndio yamekuwa hivyo.
Na kibaya zaidi unaweza kukuta hata kama wasingekuwa kwenye ndoa bado kilichotokea kingetokea.
 
Anaglizo langu kwa watoto wa kike
...... Mwanaume sio mwenzako kwa maana hamfanani jinsia na wala hamfanani mamlaka. Mwanaume anachukulia very serious swala la kugegedana na mtu mwingine ni heri utumie pesa yake vibaya au uwe mzembe hilo ataweza kukusamehe na kukubali kukupa nafasi ya kujirekebisha ila sio u'cheat aisee.... Mwanaume akijua umelala na mwanaume mwingine na ulifanya kwa kudhamiria dada yangu sahau kusamehewa, ataliweka akili miaka yote mnaishi pamoja na hata kuwa na imani na wewe popote atapokuona ukiongea na jinsia ya kiume.....
 
Pindi unapokubali kuingia kwenye mahusiano/ndoa jua kabisa hauwezi kuishi kama uko peke yako.

Ukitaka kuwa na maisha yako kaa mbali na mahusiano. Vinginevyo lazima uvumilivu ukuhusu.

Lakini hii chuki ya kufikia kuua mtu ni ya kiwango cha hali ya juu.
Ila hii kitu inaweza kuepukwa kwa kukaa vikao vya familia pande zote mbili na kubaini nani kaanzisha ujinga uliopelekea uzembe wa kila upande kufanyika.

Ila now days wazazi nao wamekuwa sehemu ya kukuza matatizo wanawaachia vijana hii taasisi ndoa waiendeshe kwa hisia na matakwa binafsi. Mwisho wa siku watu wanakuwa na grievances nyingi na uncomfortable silences zinazopelekea kila upande kuwa adui kwa mwenzake na mwisho wake huwa unakuwa ni mbaya aidha wahusika kugombana na kutengana au kujeruhiana na kuuwana kama hivi.
 
Hahahah utaitwa dunga embe,umezeeka hakuna wa kukuoa,mbaya wa sura,singo maza,unajipa matumaini na majina mengi mabaya plus kauli chafu za kutweza na kumdhalilisha mwanamke
Hahahah hii ndio jf
 
Yeah kibaya ni kugeneralize. Hawajaona hata wapenzi wa kawaida tu wasio wanandoa wanauana? Hawajasikia mtu anamuua dada yake? Mambo ya mauaji yapo kila sekta... sio kwenye ndoa pekee.

Olewa my dear mjukuu.... wasikutishe ndoa tamu sana ukimpata right partner.

Niombee dear babu huyu niliyenae awe right partner
 
Anaglizo langu kwa watoto wa kike
...... Mwanaume sio mwenzako kwa maana hamfanani jinsia na wala hamfanani mamlaka. Mwanaume anachukulia very serious swala la kugegedana na mtu mwingine ni heri utumie pesa yake vibaya au uwe mzembe hilo ataweza kukusamehe na kukubali kukupa nafasi ya kujirekebisha ila sio u'cheat aisee.... Mwanaume akijua umelala na mwanaume mwingine na ulifanya kwa kudhamiria dada yangu sahau kusamehewa, ataliweka akili miaka yote mnaishi pamoja na hata kuwa na imani na wewe popote atapokuona ukiongea na jinsia ya kiume.....
Km unaona kugegedana is that serious mbna mko bize kuto.mba watu nje?..mbona hamtulii ndani ?.
Hamtobaki salama dunia hii..ngoma drooo

Na ukijiroga ukaua na wewe utaozea jela
 
Ndio hvyo mamiii....

Kuna rafiki yangu mmoja huwa yeye kaoa akiwa mdogo bado hajamaliza ujana,huwa anarudi asubuhi kila wkend[emoji23][emoji23]..mke wake kamlipa moja jamaa kachanganyikiwa
Muosha huoshwa
Ss anachanganyikiwa nin?.
 
Back
Top Bottom