Ndoa siitaki kwasababu kila harusi utasikia "ndoa ni uvumilivu"

Ndoa siitaki kwasababu kila harusi utasikia "ndoa ni uvumilivu"

Mwanamume

JF-Expert Member
Joined
Jan 3, 2013
Posts
271
Reaction score
216
Maisha haya ni mafupi sana. Huna haja ya kujinyima raha ya nafsi yako hata kwa dakika moja.

Pwani kuna msemo kuwa "raha jipe mwenyewe". Kuna watu wanadhani wakiingia kwenye hiyo jela iitwayo ndoa watapata raha, wanaishia kupata karaha lkn wanaambiwa wavulilie. Yaani waugulievndani kwa ndani.

Mm sitaki upuuzi huu. Ndoa siitaki. Na sitaki kumtegemea mwanadamu yeyote kwa lolote lile. Kwasabb hata vitabu vya Mungu vimekataza kumtegemea mwanadamu. Mfano, kwenye biblia imeandikwa "amelaaniwa mtu yule amtegemeaye mwandamu".

Yaani hivi sasa naishi kwa amani na furaha tele, mara tu nianze kulivumioia li-mtu ambalo haliniongezei uhai wala pumzi!!!!! Why nilivumilie li-mtu hili?
.
Sitaki ndoa.
Kwa taarifa yenu lengo kuu la ndoa ni mnyanduano tu. Sasa mnyanduano lazima ukae na li-mtu?

My take:
Kama unabisha toa faida moja kubwa ambayo mwanandoa anaipata halafu yule asiye kwenye ndoa hapati.

(Onyo: Usilete swaga za kuwa na watoto. Watoto wanapatikana hata nje ya ndoa).
 
HIYO NI HATUA MOJAWAPO YA MAISHA YA BINADAMU NA MARA NYINGI HUWA HAIKWEPEKI
 
Unakubali vitabu vimesema "amelaaniwa amtegemeaye mwanadamu" alafu unapingana navyo vinaposema "usizini"... Vipi Ndugu?
 
Ndoa za siku hizi ni uvumilivu kwa sababu wengi wameoa malaya, kuishi na malaya kunahitaji uvumilivu.

Kama hujapata mwanamke mwenye bikra usioe utaonja sumu kwa ulimi
 
Kuishi kunataka uvumilivu pia au wewe mwenzetu hauhitaji uvumilivu maishani, na ama jibu ni ndio kunahitaji uvumilivu, kwanini bado unaishi? Si utoke duniani ukwepe jela ya uvumilivu.

Ndugu zako wenyewe wa tumbo moja inahitaji muishi kwa kuvumiliana mkuu. Yaani uogope kuoa na kustarehe sababu ya kuogopa kumvumilia mke, dah! Wewe watu wangapi wamekuvumilia kuanzia shuleni, mtaani, kazini na kila mahali mkuu
 
Kwahiyo wewe unaogopa kukabiliana na changamoto...
 
1)ukiwa hujaoa/olewa unalinda mwili usipate ngoma.

2)ukioa/ukiolewa saizi ya mwili imekuwa kubwa.
Mkeo/mumeo akichepuka,akipata ngoma,na wewe 95% utapata.

(TAZAMA SASA MMEKUWA MWILI MMOJA)
 
Back
Top Bottom