Ndoa ya 3 ya Dida yavunjika..

we acha tu binamu nimevamiwa na boko haramu, jana nilimiita mume wa mbasha mapu.... ndo eti nikapewa ban leo

Binam Hawa jamaa sio kabisa!! Baada ya kusoma ile post ya heaven alouliza kuhusu ban ndo nikasema em nicheki status,, yarabi toba, eti nakuta banned, alafu mbona naona kuna upendeleo wa hizi ban mbona wengine wanatukana hawapewi ban?????
 
Dida wa mchops....dida wa G,mama Edze j4.,...cjui sasa anaenda kuwa dida wa nani tenaa


Sent from my iphone using jamii forum
 
Noma sana..sijui kama alikumbuka kuchukua chaja zake za simu zenye pasiwedi.

hahaha pale atakua alibeba kilicho mbeleni kama chaja ilikua mbali iliachwa ndani....

bidada nae mtata akaficha funguo za gari....
 
alivyoumuka kama kiti moto bado anataka kuongeza tena....

ama kweli weupe ungekua dili ubuyu usingepakwa rangi

mwenzio hatak u cheusi dawa kama aunty ezekiel, mmh huyo maimartha simpatii picha uko kwa bibi palivyokuwa peusi mmh, bora aunty ezekiel mwenyew kasha rizika na weusi dawa wake mwenyew tumuache alale
 
Asikuchoshe huyo dida.... akikuchosha tupa kule vuta mwingine

Halafu mwanamke hapigwi na mkanda...anapigwa na kluger
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…