Ndoa ya 3 ya Dida yavunjika..

Ndoa ya 3 ya Dida yavunjika..

dida mtata yule anatiaje "kiatu alichovaa mwenzio hujui kimembanaje"nilichekaaa hadi bas!

yule anamineno ya shombo balaa....no wonder ndoa zinamshinda...wengine hawajaumbiwa ndoa jamani...mana naona wanawake tunapenda kukariri sana.
 
midomo ya watu mibaya jamani, yaani hii ndoa ilivunjwa na midomo ya watu tangu siku ya kwanza ilipotangazwa!!!

Chezea watu wewe , wambea, wachawi na wachongonishi
 
haha kurumbembe nimechekaje

Dida atakuwa ana laana ya ukoo, maana haiwezekan ndoa ya tatu inavunjika tena kuivunja mwenyew kwa kudai talaka halafu hata hajishtukii, inabidi wambea tuingie mzigoni tuchunguze historia ya familia yake, maana sio tunachamba apa mpaka hasubuhi kumbe ni laana ya ukoo na usikute kwenye ukoo wao hakuna ndoa, maana tukisema umalaya huu utakuwa umevuka mipaka sio umalaya huu, ngoja niingie mzigon, kesho hasubuh naenda mitaa ya mwananyamar nikapeleleze umbea
 
Dida atakuwa ana laana ya ukoo, maana haiwezekan ndoa ya tatu inavunjika tena kuivunja mwenyew kwa kudai talaka halafu hata hajishtukii, inabidi wambea tuingie mzigoni tuchunguze historia ya familia yake, maana sio tunachamba apa mpaka hasubuhi kumbe ni laana ya ukoo na usikute kwenye ukoo wao hakuna ndoa, maana tukisema umalaya huu utakuwa umevuka mipaka sio umalaya huu, ngoja niingie mzigon, kesho hasubuh naenda mitaa ya mwananyamar nikapeleleze umbea

binamuuuu
 
kama unasikilizaga kile kipindi chake cha taarabu basi ndio maneno yake akiwa chumbani haswa kwenye 6 kwa 6 ana mauzi flani hivi ya ndani kwa ndani anapenda kukusema vibaya hata kwa jambo dogo nilitembea nae siku moja but sikuinjoy kabisa nilikereka sana

mkuu wewe ndo utakuwa una tatizo...aidha mashine kibamia,pumzi huna au una kiharufu.....ukiwa una stamina,pumzi na mshedede wa kibaba mtoto wa kike kwenye 6 kwa 6 hawezi kuleta story zisizohusiana zaidi ya miguno ya utamu tu
 
Back
Top Bottom