Ndoa ya Gerald Hando yaacha majonzi kwa wadada

Ndoa ya Gerald Hando yaacha majonzi kwa wadada

Miss Natafuta

JF-Expert Member
Joined
Sep 16, 2015
Posts
27,031
Reaction score
49,928
m happy you made it @geraldhando @geraldhando ..
Congrats..All the best in your marriage life...

Ukistaajabu ya Farao utayaona ya Gerlad Hando..bata la mjini ale na mwingine..ndoa akafunge na mwingine...haya maisha bhana..kitu hubby...dah!..yaan mi naona ukiwa na mwanaume alaf ukaona haelekei elekei hata hazungumzii suala la ndoa na ww plz usi post wala usijinadi nae saana watu wote wakajua jaman..subir kashatangaza nia pale ndo umpost hata ukimuita hubby kweny caption sawa..

Ila mmeokotana tu samak samaki au element leo kesho hubby na mapicha unampost kweny mitandao mwisho wa cku unackia kaoa kimyakimya..sura yko waikweka wap na ile mi caption ya mahabat..mwisho wa cku pale ulipoandika my hubby unaenda kuedit inageuka my hobby.. kitoho safi bibie kamuandikiam happy you made it @geraldhando @geraldhando ..

Congrats..All the best in your marriage life...
image-png.385993
14128845_1751332421798024_1571344990_n-jpg.385890
12976677_195404337518445_1970291436_n-jpg.385891
image-jpeg.384993
 

Attachments

  • 14128845_1751332421798024_1571344990_n.jpg
    14128845_1751332421798024_1571344990_n.jpg
    30.7 KB · Views: 710
  • 12976677_195404337518445_1970291436_n.jpg
    12976677_195404337518445_1970291436_n.jpg
    29 KB · Views: 915
Back
Top Bottom