Miss Natafuta
JF-Expert Member
- Sep 16, 2015
- 27,031
- 49,928
- Thread starter
- #21
angeaga hata jamaniInabidi mjifunze jinsi ya kutofautisha, kuna mwanamke wa bata na mwanamke wa kuoa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
angeaga hata jamaniInabidi mjifunze jinsi ya kutofautisha, kuna mwanamke wa bata na mwanamke wa kuoa
si utaona?Labda umbea ukustaafu wewe, lakin wewe kustaafu umbea.. Ngumu mnoo... "Once mbea always mbea"
yap nimekuelewaInabidi mjifunze jinsi ya kutofautisha, kuna mwanamke wa bata na mwanamke wa kuoa
so sad meen!Oh really...?
usinisahau kwenye ufalme wa pm tafadhali!naja pm maana nisijesutwa na ushushushu wangu
ahaaaa umbea huuusinisahau kwenye ufalme wa pm tafadhali!
Hhmm... Haya yangu macho, nishastaajabu ya mussa, wacha niyaone ya miss natafuta..si utaona?
so sad meen!
is it fair ?
Ahahahahahahaaaa na movie imeishia hapoHhmm... Haya yangu macho, nishastaajabu ya mussa, wacha niyaone ya miss natafuta..
shoga roho kwatuuuu!!!ahaaaa umbea huu
ila hawa wanaume hawa jamani watatuua pressureshoga roho kwatuuuu!!!
umbea rahaa!!
Ester Dalali hajawahi na hatawahi kuwa wife material. Namfuatilia sana fb na Instagram, utatafuta stress bure ukimwoaInabidi mjifunze jinsi ya kutofautisha, kuna mwanamke wa bata na mwanamke wa kuoa
ahahaa leta umbea shogaa usiku mrefu kwetu mabachelor wenye bahati zao wanagegedwa saa hizi tufanyeje sie?
alivomtongoza mwanzo na kumpa mahope dada wa watu hakujua?Hilo tipwatipwa hata Mm ningeliacha laonekana vivu na lapenda bata sana
Angeagwa angeenda kuvuruga ndoa huko kanisani, kimya kimya ndo mpangoangeaga hata jamani
kuna wanawake ni maisha tu ila wakiolewa wanatulia mkuuEster Dalali hajawahi na hatawahi kuwa wife material. Namfuatilia sana fb na Instagram, utatafuta stress bure ukimwoa
ndo maana mnalogwa hamjui tuAngeagwa angeenda kuvuruga ndoa huko kanisani, kimya kimya ndo mpango
hvohvo mkuuNimecheka sana, rekebisha kidogo, wenye bahati zao wanapiga hiyo kitu na waume zao, sio kila snaepiga wapo kwenye ndoa.