makaveli10
JF-Expert Member
- Mar 27, 2013
- 31,583
- 92,670
Hhmm.. Director mwenyewe wa kibongo hazikosekani part 2 na 3.Ahahahahahahaaaa na movie imeishia hapo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hhmm.. Director mwenyewe wa kibongo hazikosekani part 2 na 3.Ahahahahahahaaaa na movie imeishia hapo
but gerald selection yake mmmh kweli mchagua nazi??????Looks fair and square to me.
Now what up...holla at ya boy...
Hapana, sio mvivu. Anajitahidi sana kwenye ujasiria Mali. Tatizo lake hana busara zinazohitajika kwa mama....hana kiasi....ana kautoto Toto flan hivi, much know na ni mtu wa show off, ni Binti ambaye hata ikitokea amekunya dhahabu, utakuta kapost mitandaoni amekunya dhahabuHilo tipwatipwa hata Mm ningeliacha laonekana vivu na lapenda bata sana
Potelea karibu, uchawi hauendi kwa mentalindo maana mnalogwa hamjui tu
ahahaa sirudi tena hapa na umbea hii inanihusu ndo maana nimeletaHhmm.. Director mwenyewe wa kibongo hazikosekani part 2 na 3.
Usifanye majaribio kwenye ndoa. Ukiwa kunguru utabaki kunguru siku zotekuna wanawake ni maisha tu ila wakiolewa wanatulia mkuu
unadhani kwa nini ndoa nyingi siku hizi hazidumu? unakuta mkaka kaacha wadada mia na pete zao sasa wanalaani yaani anakuwa hana amani na ndoa anaweweseka tu laana ipo mkuuPotelea karibu, uchawi hauendi kwa mentali
mwenzanguuu!!!!!acha tuila hawa wanaume hawa jamani watatuua pressure
Ndio imebaki story aendelee tu na program nyingineHapana, sio mvivu. Anajitahidi sana kwenye ujasiria Mali. Tatizo lake hana busara zinazohitajika kwa mama....hana kiasi....ana kautoto Toto flan hivi, much know na ni mtu wa show off, ni Binti ambaye hata ikitokea amekunya dhahabu, utakuta kapost mitandaoni amekunya dhahabu
Usiniambie ndugu yangu.. Kipi tena kimekusibu mrembo wewe.ahahaa sirudi tena hapa na umbea hii inanihusu ndo maana nimeleta
mimi muhanga pia
hata changudoa akiolewa anatulia tuliUsifanye majaribio kwenye ndoa. Ukiwa kunguru utabaki kunguru siku zote
na mimi nilifanya show off na jamaa nikaachwa mchana kweupeUsiniambie ndugu yangu.. Kipi tena kimekusibu mrembo wewe.
Labda changudoa wa kwenye muvi za kina Ray!hata changudoa akiolewa anatulia tuli
hakuna namna !Ndio imebaki story aendelee tu na program nyingine
Teh teh teh... Pole eeh.. Kumbe ya zaman, nilidhan kidonda kibichi weekend tutoke nikupoze ndugu yangu, kumbe kovu.na mimi nilifanya show off na jamaa nikaachwa mchana kweupe
ahahaa wa ukweli kabisaLabda changudoa wa kwenye muvi za kina Ray!
Sasa utafanyaje mtu kila mkikutana anazungumzia kuhusu clubs na kujirusha tu!!!? mtu unampeleka supermarket anaanza kuchukua ice cream badala ya kuanza na unga wa ugari!!!?unadhani kwa nini ndoa nyingi siku hizi hazidumu? unakuta mkaka kaacha wadada mia na pete zao sasa wanalaani yaani anakuwa hana amani na ndoa anaweweseka tu laana ipo mkuu
ahahaa acha tu my super baby! my hubby on fleek hizi ni shidaTeh teh teh... Pole eeh.. Kumbe ya zaman, nilidhan kidonda kibichi weekend tutoke nikupoze ndugu yangu, kumbe kovu.
kwanini ununue unga wa ugali supermaket ? nunua mahindi ukasage hukoSasa utafanyaje mtu kila mkikutana anazungumzia kuhusu clubs na kujirusha tu!!!? mtu unampereka supermarket anaanza kuchukua ice cream badala ya kuanza na unga wa ugari!!!?