Miss Natafuta
JF-Expert Member
- Sep 16, 2015
- 27,031
- 49,928
- Thread starter
- #81
eheheee nasaga mahindi ,muhogo ,mtama ,uwele si unajua wasukuma mkuuWewe mposti tu, kama unaweza kuenda kusaga hawez kukuacha. labda alogwe
hali wali
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
eheheee nasaga mahindi ,muhogo ,mtama ,uwele si unajua wasukuma mkuuWewe mposti tu, kama unaweza kuenda kusaga hawez kukuacha. labda alogwe
[emoji23] [emoji23] [emoji23] Miss unaangalia housing ??[emoji86] Uncle yawezekana kaangalia motherboard ladha ya paka (pus***), zinatofautiana sana ile ya kusema nyama ni ile ile huwa tunajipa moyo tu
Mmh!! Usiache kabsanastaafu rasmi umbea leo
Haha hapo kweli panatia shaka,nna maswali kama buku hivi ila ndio vile tena uncle kashafanya yake sema nini ule ni ukatili wa kijinsiahousing inadetermine uzuri wa ndani bwana
nyumba ya udongo utakuta tiles kweli?
Ana Moyo wa chuma ndo kwenda kumtakia Heri...au kweli ndugu wa kidhunguuuuhakuna kitu
hvohvo mkuu
yaani ndo maana mimi sina mpenzi mpaka uzee huu maana moyo wa mwanaume ni choo cha maviHaha hapo kweli panatia shaka,nna maswali kama buku hivi ila ndio vile tena uncle kashafanya yake sema nini ule ni ukatili wa kijinsia
[emoji23] [emoji23] [emoji23] mambo magumu sana haya mkuu pengine hata tungekuwa sisi tungefungua "NDUKi" break ya kwanza Mdaula Ubolt anasubiriUkute inavuta ndaniii kuoa kuna mambo mengi
mimi ningemtumia juju moja ya maaana sanaAna Moyo wa chuma ndo kwenda kumtakia Heri...au kweli ndugu wa kidhunguuuu
hata mimi naona hajaachwa mtu hapa badoHuwezi kujua, huenda huyu akabaki kuwa mke, na michepuko wakabaki pale pale na status yao. Sie wanaume wakati mwingine akili zetu hata sisi wenyewe hatuzielewi.
Haya bibie.. Langu jicho tusi utaona?
Basi mkuu wewe jiachie tu, ndoa yako hapoeheheee nasaga mahindi ,muhogo ,mtama ,uwele si unajua wasukuma mkuu
hali wali
Hujataka tu ...ukihitaji hata ww unaweza gegedwa anytime sio lazima mpaka uolewe....ahahaa leta umbea shogaa usiku mrefu kwetu mabachelor wenye bahati zao wanagegedwa saa hizi tufanyeje sie?
yaanimimi naloga kamati ya harusi wote waote mabusha
Haha Miss unatuchana ki Trump Trump sema nini kama zile show za 'no string attached' huwa una perform nishtue maana na mimi ni muumini wa kuto funga Ng'ombe kwa kuamini maziwa na nyama vipo tuyaani ndo maana mimi sina mpenzi mpaka uzee huu maana moyo wa mwanaume ni choo cha mavi
Unasemaa??yaani ndo maana mimi sina mpenzi mpaka uzee huu maana moyo wa mwanaume ni choo cha mavi
Mhhhahahaa leta umbea shogaa usiku mrefu kwetu mabachelor wenye bahati zao wanagegedwa saa hizi tufanyeje sie?
mabusha mpk wanayakokota chini loooh!!mimi naloga kamati ya harusi wote waote mabusha