hahahahahah na wakulipe mafao yako tokea ulivyoanza umbea hadi kustaafu hahahahahahahahnastaafu rasmi umbea leo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
hahahahahah na wakulipe mafao yako tokea ulivyoanza umbea hadi kustaafu hahahahahahahahnastaafu rasmi umbea leo
Wee nawe mbona hueleweki ?si mesema unae Msukuma asiyekula wali bali anapenda ugali wenye unga mchanganyiko? sasa huyo ni nani?au huyo ni kwa kwa ajili ya kupozana mihemko?yaani ndo maana mimi sina mpenzi mpaka uzee huu maana moyo wa mwanaume ni choo cha mavi
eheheee uliniona nae?Wee nawe mbona hueleweki ?si mesema unae Msukuma asiyekula wali bali anapenda ugali wenye unga mchanganyiko? sasa huyo ni nani?au huyo ni kwa kwa ajili ya kupozana mihemko?
yaani mimi ningewatosha kamati yote ya maandalizi bushaIla kweli kwa mtindo huu ndio maana watu wanarogwa!!Yaani mpaka mtu anajuwa kabisa kuwa "This is my hubby to be" halafu unakuja kukuta anaolewa mwingine??View attachment 385993View attachment 385994
kwaiyo jamaa kamuoa fasta mgonjwa ili akife ale mafao au?Nasikia Mariam Kitenge ni mgonjwa wa Figo ndiyo maana afya yake siyo rafiki Sana. Bibie kwao wako vizuri Sana hawana njaa hapo Hando kafata mpunga na si mapenzi.
Hizo ndo story zilizo chini ya kapeti. Yupo kimaslahi zaidi... Japo wanasema eti estadalali ni binamu yake lakini mmmh ucousin huo wa kizungu kibongobongo umeanza lini[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] ila cousin wanakulagakwaiyo jamaa kamuoa fasta mgonjwa ili akife ale mafao au?
Tatizo mpunga..Mkuu mtoto mkali sana huyo jamaa sijui kwanini kaamua kuchukua kimbaumbau
hakunaga ubinamu wa hvo bnaHizo ndo story zilizo chini ya kapeti. Yupo kimaslahi zaidi... Japo wanasema eti estadalali ni binamu yake lakini mmmh ucousin huo wa kizungu kibongobongo umeanza lini[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] ila cousin wanakulaga
yaani tumekomaMkiambiwa mjiheshimu mtulie nyumbani hamsikii. Hata mlevi naye anajua kutofautisha.
alivomtongoza mwanzo na kumpa mahope dada wa watu hakujua?
We muhehe wa Kalenga kwa kina Sekalinga mnafikiiiii.....Khaaa ndio leo naona Mhehe mbea kama wewe loooh
Tatizo huyu demu mapepe sana....Halafu muhongaji kwa "vitoto"Mkuu mtoto mkali sana huyo jamaa sijui kwanini kaamua kuchukua kimbaumbau
When love end, life continue. Unaangalia ulikoteleza unarekebisha maisha yanaendelea.yaani tumekoma
tumejifunza
Wanawake wenye mikia sijui kwanini hawaolewi.....Mkuu mtoto mkali sana huyo jamaa sijui kwanini kaamua kuchukua kimbaumbau
[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji3] [emoji3]umbea umezidi yaani
Unastaafu umbea afu utafanya kazi gani, ajira zenyewe zimesitishwa acha hizo...... Umbea kazi usistaafu please
Haaa! huyu ndie mkewe Hando?! Yaani ndie bi harusi huyu pembeni ya lulu?! Mi nilidhani ni mama daimond nae ni mmoja kati ya waalikwa?! Haya jamani hongera zao .