Ndoa ya Gerald Hando yaacha majonzi kwa wadada

Ndoa ya Gerald Hando yaacha majonzi kwa wadada

Wanawake wa mjini hua wanapenda sana kujishebedua ivi nakupost kwa style gani wanaume wengi sikuizi fake,moiyo yao ina vyumba wanapangisha,na wanawake wengine nao wakiona mtu maarufu kidogo ndio wanakua hoi na Mahaba niteketeze
wakisha mwagwa unasikia nilikua najishikiza tuu au still anajua ameshaoa amekuacha wewe bado unatoka nae sijui akili za wanawake wengine wakoje..
 
Haaa! huyu ndie mkewe Hando?! Yaani ndie bi harusi huyu pembeni ya lulu?! Mi nilidhani ni mama daimond nae ni mmoja kati ya waalikwa?! Haya jamani hongera zao .
Jamani punguzeni ukali wa maneno
 
unadhani kwa nini ndoa nyingi siku hizi hazidumu? unakuta mkaka kaacha wadada mia na pete zao sasa wanalaani yaani anakuwa hana amani na ndoa anaweweseka tu laana ipo mkuu
Wapiii tatizo mnachagua sana, thus why tukiona dalili mbovu basi tunawahi treni,
 
Demu ukimwambia Nina Ka milion 1 haka,anakwambia mwende shopping ,ila yule mwingine anakwambia tununue tofali,,kama unaakili utajua tu,nani MKE nani danga
 
HAWA NI KINA NANI MBONA HUYU NI KAMA BABRA HASSAN HATAAAAAAA NGOJA NIZAME INSTA NISAKE UMBEAZZZZ
 
Back
Top Bottom