Miss Natafuta
JF-Expert Member
- Sep 16, 2015
- 27,031
- 49,928
- Thread starter
- #61
mimi naloga kamati ya harusi wote waote mabushamwenzanguuu!!!!!acha tu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
mimi naloga kamati ya harusi wote waote mabushamwenzanguuu!!!!!acha tu
[emoji23] [emoji23] [emoji23] Miss unaangalia housing ??[emoji86] Uncle yawezekana kaangalia motherboard ladha ya paka (pus***), zinatofautiana sana ile ya kusema nyama ni ile ile huwa tunajipa moyo tubut gerald selection yake mmmh kweli mchagua nazi??????
Hahahaaaa, utaweza kuenda kusaga mashineni wewe!!!? na hizo nywere utaweza jitwisha debe la mahindi wewe!!??kwanini ununue unga wa ugali supermaket ? nunua mahindi ukasage huko
supermaket ni ice cream na chocolate
Teh teh tehahahaa acha tu my super baby! my hubby on fleek hizi ni shida
mimi huwa nasaga mkuuHahahaaaa, utaweza kuenda kusaga mashineni wewe!!!? na hizo nywere utaweza jitwisha debe la mahindi wewe!!??
my mbebz on fleekNdoa nayo ni majaliwa sasa unaanzaje kumpost MTU wakati hamja officiate. Pole dalali
usiku mwema mkuu nastafu mieTeh teh teh
housing inadetermine uzuri wa ndani bwana[emoji23] [emoji23] [emoji23] Miss unaangalia housing ??[emoji86] Uncle yawezekana kaangalia motherboard ladha ya paka (pus***), zinatofautiana sana ile ya kusema nyama ni ile ile huwa tunajipa moyo tu
Huna jeuri hiyo bibieusiku mwema mkuu nastafu mie
ahahaa kweli nitakuwepo ila sileti tena umbeaHuna jeuri hiyo bibie
Hongera zako mkuu, basi wewe jamaa yako hatakuweka wa bata, utakuwa wa kuoa!mimi huwa nasaga mkuu
hapa kafika ila simpost kabisa maana dunia ina maajabu hiiHongera zako mkuu, basi wewe jamaa yako hatakuweka wa bata, utakuwa wa kuoa!
Hhmm.. Maneno hayo unayatupa we mlimbwende, Weka akiba bibie.ahahaa kweli nitakuwepo ila sileti tena umbea
si utaona?Hhmm.. Maneno hayo unayatupa we mlimbwende, Weka akiba bibie.
Wanasema Eti Ni Cousin wake. Nimesema Insta Sijui Ni kweliangeaga hata jamani
Wewe mposti tu, kama unaweza kuenda kusaga hawez kukuacha. labda alogwehapa kafika ila simpost kabisa maana dunia ina maajabu hii
hakuna kituWanasema Eti Ni Cousin wake. Nimesema Insta Sijui Ni kweli