Tayana-wog
JF-Expert Member
- Feb 26, 2012
- 24,844
- 29,126
Ndo kafa aiseeMti mkavu anafanya kazi TRA .
Wanaume wa siku hizi kwenye kuoa wanatazama sana maokoto ya mwanamke wanaemuoa
π π Hongera bestNimejishangaaa yaani.kweli nimekua mkuu
Ndo kafa aisee
Jamaa alikuwa anatuburudisha na riwaya zake huyu aliumwa ghafla tuDuh mwenye hii comment nae ni marehem ππ³π
Esta mwenyewe ukimuona sasa hivi utajua kama amewahi kuwa kibonge? Cha uturuki kimepita amekuwa kipotabo na kitako cha uchokozi, utamtaka tu! πHata kama Mwanamke Tabia
Jamaa Kaacha kuoa Kibonge mtamu minyama , kakimbilia kuoa Mti mkavu.
Kweli uchawi upo
Hata Esta pesa anayo sana now, mtoto wa mjini yule alifulia kwa muda π Hando arudi tu wakaendeleze walipoishia.Mti mkavu anafanya kazi TRA .
Wanaume wa siku hizi kwenye kuoa wanatazama sana maokoto ya mwanamke wanaemuoa
Hata Esta pesa anayo sana now, mtoto wa mjini yule alifulia kwa muda π Hando arudi tu wakaendeleze walipoishia.
Hando sio level zake tena.esta kawa.don siku hizo na uzuri anaoHata Esta pesa anayo sana now, mtoto wa mjini yule alifulia kwa muda [emoji28] Hando arudi tu wakaendeleze walipoishia.
Sio wa sport sport siku hizi .hando atasubiri sanaImebidi nikamtafute nikamuona sio mchezo
Ana mtt naona anapost [emoji28]
Safi sanaSio wa sport sport siku hizi .hando atasubiri sana
Kifutu anarudiwa?Kifutu kapigwa chini, atakonda.....