Ndoa ya Gerald Hando yaacha majonzi kwa wadada


Mapenzi yakiisha maisha yanaendelea.
 
unadhani kwa nini ndoa nyingi siku hizi hazidumu? unakuta mkaka kaacha wadada mia na pete zao sasa wanalaani yaani anakuwa hana amani na ndoa anaweweseka tu laana ipo mkuu
[emoji16] [emoji16] [emoji16] [emoji16] [emoji16] [emoji12] [emoji15]
 
Tatizo Gerald hapendi mijanamke minene na mifupi. C unaona size ya body ya kitu alichooa. Mwanamke anatakiwa anenepe akiwa ndani sio halijaolewa limenenepeana na kitambi hicho;nani ataweza.
 
Inabidi mjifunze jinsi ya kutofautisha, kuna mwanamke wa bata na mwanamke wa kuoa

Hapa ndipo akili zetu wanaume zinapofanana! tutakuwa na tabia zooote mbaya mbaya, lakini kwenye kuchagua mke wa kuoa.Tunatulia mmno.
Sasa ivi kuna mwanamke wa kujipiga nae selfie, na kutuma ktk social media.
Kuna mwanamke wa kutoka nae outing
Kuna mwanamke wa msimu, ukimkumbuka unakwenda kuwasha,
KUNA MWANAKE WA KUOA
 
Inabidi mjifunze jinsi ya kutofautisha, kuna mwanamke wa bata na mwanamke wa kuoa.

Hili wanawake huwa hawalifahamu. Akiwa na wewe anajiaminisha kuwa ataolewa wakati wewe ushagundua kuwa siyo wife material. Baadaye ukioa the wife material anaanza kulalamika. Nadhan men pia inabidi kuwa wawazi itasaidia.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…