Ndoa ya Jacqueline Wolper yavunjika

Wakati anaingizwa kingi na kupanua maku hakuposti, ya nini kuposti sasa au ndio anatafuta mkunyenge kiaina?
Single mother kazi zao sasa ni kutandaza tu miguu… humu wanapondwa sana sijui Kwa nini hawataki kujifunza?
 
Kwa maandishi haya ya Wolper inaonekana jamaa anaruka ruka sana mjini na wahuni wanampa taarifa kwa hiyo kaona bora kila mtu aendelee na maisha yake na pia hapo pia inaonekana huyo Mzazi mwenzie mpunga upo ndio maana mazingira ya kuachana ni yale salama ili waendelee kupeana mpunga kwa ajili ya malezi ya watoto wao...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…