Ndoa ya Jacqueline Wolper yavunjika

Ndoa ya Jacqueline Wolper yavunjika

M24 Headquarters-Kigali

JF-Expert Member
Joined
Jul 9, 2012
Posts
8,199
Reaction score
8,186
IMG_2288.jpeg
Ile NDOA iliyosimamisha internet. Imevunjika rasmi.

NB: Je atarudia FANTASY ya Zamani kama Shishi?

Source: Wolper mwenyewe
BCC: kataa ndoa

Screenshot_2025-01-05-17-39-06-25_1c337646f29875672b5a61192b9010f9.jpg
 

Attachments

  • mcgarab_190824481.mp4
    8.6 MB
Wakati anaingizwa kingi na kupanua maku hakuposti, ya nini kuposti sasa au ndio anatafuta mkunyenge kiaina?
Single mother kazi zao sasa ni kutandaza tu miguu… humu wanapondwa sana sijui Kwa nini hawataki kujifunza?
 
Kwa maandishi haya ya Wolper inaonekana jamaa anaruka ruka sana mjini na wahuni wanampa taarifa kwa hiyo kaona bora kila mtu aendelee na maisha yake na pia hapo pia inaonekana huyo Mzazi mwenzie mpunga upo ndio maana mazingira ya kuachana ni yale salama ili waendelee kupeana mpunga kwa ajili ya malezi ya watoto wao...
 
Back
Top Bottom