Ndoa ya Jacqueline Wolper yavunjika

Unajua wanawake kila wakati wanaamini sie ndiyo huleta magonjwa majumbani. Lakini Mungu huwa anawaumbua. Ninaye ila tunaishi kama mtu na dada yake

duh kwa hiyo unalala na dada yako? hiyo ni dhambi kubwa …
 
Mimi nilivyoona tu viatu alivyovaa bwana harusi siku ya harusi nilijua safari hii haiendi mbali atawahi kuchoka maana sio kwa viatu vile
 
View attachment 3193375Ile NDOA iliyosimamisha internet. Imevunjika rasmi.

NB: Je atarudia FANTASY ya Zamani kama Shishi?

Source: Wolper mwenyewe
BCC: kataa ndoa

View attachment 3193318
Celebrities wote wa bongo walikuja hapa duniani kwa ajili ya matumizi ya starehe tu na kupokezana, siyo wa kuweka ndani. Mwanaume yeyote anayemweka celebrity ndani ni mwehu, hana akili kabisa.
 
Celebrities wote wa bongo walikuja hapa duniani kwa ajili ya matumizi ya starehe tu na kupokezana, siyo wa kuweka ndani. Mwanaume yeyote anayemweka celebrity ndani ni mwehu, hana akili kabisa.
kwa hiyo hata nandi yumo kwenye hiyo list?
 
Mimi nilivyoona tu viatu alivyovaa bwana harusi siku ya harusi nilijua safari hii haiendi mbali atawahi kuchoka maana sio kwa viatu vile
Viatu vilikuwaje na vina uhusiano gani na ndoa kuvunjika
 
Dah!! Unetoka mbali mzee...itabidi uandike kitabu mzeee
 
Unajua wanawake kila wakati wanaamini sie ndiyo huleta magonjwa majumbani. Lakini Mungu huwa anawaumbua. Ninaye ila tunaishi kama mtu na dada yake
Dah...!! atakuwa full kukuomba msamaha na kulia
 
Hapo kwenye kitabu....itabidi ufanye hivyo mzee....Tena skills za uandishi unazo...unajua kueleza kwa maandishi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…