TIMING
JF-Expert Member
- Apr 12, 2008
- 28,186
- 15,549
Acha wafu wazike wafu waoNilishawaambia lakini, ndoa ilikuwa sio ndoa ni ndoano na imepumulia mashine kwa muda mrefu.
Kiukweli Wolper alikurupuka kuolewa na Rich.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Acha wafu wazike wafu waoNilishawaambia lakini, ndoa ilikuwa sio ndoa ni ndoano na imepumulia mashine kwa muda mrefu.
Kiukweli Wolper alikurupuka kuolewa na Rich.
Yuko sahihi,malaya haolekiNilijua tu utopolo kama wewe msingekosekana kwenye uzi huu.
Wolper aachie gurudumu wakati jua linazama!!Sijaielewa vizuri,
Rich ndo kaamua kuachia GURUDUMU
Au wolper ndo kaamua kuachia GURUDUMU 🤔
Kwani Wolper mwenyewe ametulia? maana Mungu humpa mtu wa kufanana nayeMtonyo sio sababu ya kuvunjika ndoa yao, Rich bado ana mambo mengi ujana mwingi anaruka sana.
Hata ukimsoma vizuri hapo Wolper, utaona kabisa anaongelea hilo mara nyingi.
Wee ningeweza wapi mie kwa wolper...hela yenyewe ya ugali maharage inanipiga chenga
Unamshaurije mwenzio ambae 2023 aliitaka sana divorce, 2025 hataki hata kuskia kuachika....hatasumbua tena mbeleni apewe mapema mambo yasiwe mengi baada ya uchaguzi mwisho wa mwaka huu kweli🤭Ananiachaje wakati tulikubaliana kuanzisha familia katika ndoa...mi naomba twende kama kiapo kilivyosema,kifo kitutenganishe
Ebhanaa eeeh, ngja niutafute tena kama sitauona basi ndio wenyewe ule uzii🤣🤣Juzi hapa usiku ilikuja code moja hivi na uzi ukafutwa shaaaa. Sasa naunganosha dot naona mule mule dadeki.
Ulifutwa baada ya bidada kukoment tuuu. Naona aliomba ufutwe maana ishu ilikuwa kukoboana na wana watoto wabeheEbhanaa eeeh, ngja niutafute tena kama sitauona basi ndio wenyewe ule uzii🤣🤣
KikiView attachment 3193375Ile NDOA iliyosimamisha internet. Imevunjika rasmi.
Source: Wolper mwenyewe
BCC: katana ndoa
View attachment 3193318
😅😅😅😅Jambo moja ni dhahiri. Mbowe Must Go kudadek zake
SureSema si Africans bado primitive sana.
Ndio nani huyo huko DAR?!View attachment 3193375Ile NDOA iliyosimamisha internet. Imevunjika rasmi.
Source: Wolper mwenyewe
BCC: katana ndoa
View attachment 3193318
Amani ya moyo ni muhimu sana kuliko kuishi kwa mateso kisa watoto. Watoto wanaathirika sana wakiwa na wazazi wenye ndoa zenye matatizo. Ni bora kuachana na kutafuta namna nzuri ya kulea watoto.
Unachosema si sahihi! Hujaona ndoa ambazo wazazi waliachana wakiwa wadogo lakini wakikua wanajitahidi kuwarudisha ili waishi wote baba na mama? Raha ya watoto ni baba na mama kuishi katika nyumba mojaKuna watoto baba na mama wapo pamoja lakini wanapitia mateso makubwa.
True. Single mother wanatafutaga Hata Baba wa mchongo kwa ajili ya Sex na kuleaUnachosema si sahihi! Hujaona ndoa ambazo wazazi waliachana wakiwa wadogo lakini wakikua wanajitahidi kuwarudisha ili waishi wote baba na mama? Raha ya watoto ni baba na mama kuishi katika nyumba moja