Demi
JF-Expert Member
- Nov 22, 2016
- 40,466
- 88,695
Loh, basi sawaaa😃😃Ni kampuni moja na Zuchu 😁😁
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Loh, basi sawaaa😃😃Ni kampuni moja na Zuchu 😁😁
Kwa hiyo bado ni mvualana! Aliingia kwenye ndoa kabla ya kukomaa!Mtonyo sio sababu ya kuvunjika ndoa yao, Rich bado ana mambo mengi ujana mwingi anaruka sana.
Hata ukimsoma vizuri hapo Wolper, utaona kabisa anaongelea hilo mara nyingi.
Nafanya kazi eneo ambalo nakutana sana na wazazi wanaokimbia watoto.Siku nikiamua kupata mtoto wallah vile siachiki
Yaaaaaani unizalishe afu uniache? Hell no!
Kuna mdau atakuja kuniambia niteme mate chini....tayari nimetema halafu narudia nilichoandika hapo juu dadeq!
nakuombea iwe hivu kwa kweli, hizi habari za kukimbia kimbia sio nzuri kabisa, watoto wanahangaishwa sana, kisa tu hizi habari za kinyama ugomvi na kutandaza miguu. Hizi habari za kuachana zilinifanya niwachukie sana wazazi wangu hadi sasa, kwa kosa hilo tu la kunileta duniani na kutuacha kama kuku free range.Siku nikiamua kupata mtoto wallah vile siachiki
Yaaaaaani unizalishe afu uniache? Hell no!
Kuna mdau atakuja kuniambia niteme mate chini....tayari nimetema halafu narudia nilichoandika hapo juu dadeq!
Alifukuzwa shule ya Maria Goreth kwa kusaga wenzake bila huruma. Hakumaliza form four. Hapa JF kuna aliyekuwa anasoma naye, ingawa anadai hakusagwaAnamsaga nani 😅
Nafanya kazi eneo ambalo nakutana sana na wazazi wanaokimbia watoto.
Nishakutana mara nyingi na mama ambaye haamini kama baba ndiyo ameshaota mapembe. So utakuta anapigwa, matunzo hayatolewi na bado mama anasisitiza anamtaka mtu huyo huyo.
Kwakua nipo kijijini utakuta binti wa 26 baba 28 watoto 5 na wote baba hajawahi kulea. Kisa mama aliamini anayemzalisha ndiyo wa milele. Tunaweka ndani baba na processes za kesi kufunguliwa zitafanyika ila katika 10 inasaidia kwa 4.
Point yangu ni nini? Mtu akishaonyesha ameshindikana muache aende.
nakuombea iwe hivu kwa kweli, hizi habari za kukimbia kimbia sio nzuri kabisa, watoto wanahangaishwa sana, kisa tu hizi habari za kinyama ugomvi na kutandaza miguu. Hizi habari za kuachana zilinifanya niwachukie sana wazazi wangu hadi sasa, kwa kosa hilo tu la kunileta duniani na kutuacha kama kuku free range.
Pamoja na Joanah anasema kuwa anafurahisha genge, lakini mimi naamini mwanake akiamua kuwa mpaka kifo kiwatenganishe, ndoa itadumu. Uzi wa ndoa anaushikiria mwanamke, si mwanaume. Wanaume tatizo ni tamaa tu zinatuendeshanakuombea iwe hivu kwa kweli, hizi habari za kukimbia kimbia sio nzuri kabisa, watoto wanahangaishwa sana, kisa tu hizi habari za kinyama ugomvi na kutandaza miguu. Hizi habari za kuachana zilinifanya niwachukie sana wazazi wangu hadi sasa, kwa kosa hilo tu la kunileta duniani na kutuacha kama kuku free range.
Ukiona ndoa imedumu ujue mmoja kakubali kuwa bwegeSasa ndoa zenyew mbona hivi sikuhiz jamni
Bro kwamba kwa mkapa hatoki mtu.....Siku nikiamua kupata mtoto wallah vile siachiki
Yaaaaaani unizalishe afu uniache? Hell no!
Kuna mdau atakuja kuniambia niteme mate chini....tayari nimetema halafu narudia nilichoandika hapo juu dadeq!
Tema tena 😹Siku nikiamua kupata mtoto wallah vile siachiki
Yaaaaaani unizalishe afu uniache? Hell no!
Kuna mdau atakuja kuniambia niteme mate chini....tayari nimetema halafu narudia nilichoandika hapo juu dadeq!