Joanah
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 22,527
- 79,976
Nasemaje brazaaaa,kila penzi litaonja umauti 😂Bro kwamba kwa mkapa hatoki mtu.....
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nasemaje brazaaaa,kila penzi litaonja umauti 😂Bro kwamba kwa mkapa hatoki mtu.....
Kabisa yaanUkiona ndoa imedumu ujue mmoja kakubali kuwa bwege
Si walikula kiapo cha kuvumiliana kwenye shida na shida madhabahuni lakini?Tema tena 😹
Kuna wanaume vichaa, mwenzio Wolper mumewe ana mke mwingine tena shoga.!!
Mwanaume km huyo utamvumilia??
Tema tena 😹
Kuna wanaume vichaa, mwenzio Wolper mumewe ana mke mwingine tena shoga.!!
Mwanaume km huyo utamvumilia??
Pamoja na Joanah anasema kuwa anafurahisha genge, lakini mimi naamini mwanake akiamua kuwa mpaka kifo kiwatenganishe, ndoa itadumu. Uzi wa ndoa anaushikiria mwanamke, si mwanaume. Wanaume tatizo ni tamaa tu zinatuendesha
Nikwambie tu ndugu yangu, binafsi baada ya wazazi kutengana, dingi aliniondosha kwenye nyumba yake nikiwa 11 yrs old, mama akarudi kwao, mimi nikaenda Dar- nikawa nauza maji yale ya mkokoteni wakati huo miaka ya 1994- ili kulipa school fees na tuition. Chipsi dume na maji ya mkemia pale Azania ndio ilikuwa chakula changu. Nilipitia changamoto ngumu sana, lakini sikukata taama. Nili- Pass vizuri (kwa muujiz wa Mungu) kwenda form five na baada tu ya form 6 nikapata scholarship kuja huku-Europe. Mungu si Athumani- nimetoboa, kazi nzuri, mshara pia, watoto wangu wote kwa sasa pia wametoboa- mmoja yuko Oxford kama scientist na mwingine Cambridge kama Lecturer. Kwa sasa najiona kama ndio na- graduate toka chuo, najiandaa tu nirudi Nyumbani nifie huko. Namshukuru Mungu kwa alivyo nisaidia katika maisha yangu hadi sasa, hakuwahi na hajawahi kuniangusha siku zote ninapo mkimbilia, yeye ndiye amekuwa msaada wangu kwa kila jambo tangu siku ile nilipo timuliwa nyumbani.Pole sana mkuu
Ukiwa mzazi mfundishe mtoto umuhimu wa ndoa na uaminifu...nafikiri hili linaweza kutengeneza kizazi ambacho kitachukulia userious wa mahusiano
Shida km ni mgonjwa au uchumi umeyumba, sio kushare mapenzi na watu wengine..!!Si walikula kiapo cha kuvumiliana kwenye shida na shida madhabahuni lakini?
Nikwambie tu ndugu yangu, binafsi baada ya wazazi kutengana, dingi aliniondosha kwenye nyumba yake nikiwa 11 yrs old, mama akarudi kwao, mimi nikaenda Dar- nikawa nauza maji yale ya mkokoteni wakati huo miaka ya 1994- ili kulipa school fees na tuition. Chipsi dume na maji ya mkemia pale Azania ndio ilikuwa chakula changu. Nilipitia changamoto ngumu sana, lakini sikukata taama. Nili- Pass vizuri (kwa muujiz wa Mungu) kwenda form five na baada tu ya form 6 nikapata scholarship kuja huku-Europe. Mungu si Athumani- nimetoboa, kazi nzuri, mshara pia, watoto wangu wote kwa sasa pia wametoboa- mmoja yuko Oxford kama scientist na mwingine Cambridge kama Lecturer. Kwa sasa najiona kama ndio na- graduate toka chuo, najiandaa tu nirudi Nyumbani nifie huko. Namshukuru Mungu kwa alivyo nisaidia katika maisha yangu hadi sasa, hakuwahi na hajawahi kuniangusha siku zote ninapo mkimbilia, yeye ndiye amekuwa msaada wangu kwa kila jambo tangu siku ile nilipo timuliwa nyumbani.
Niki-refrect maisha ya kuvunjika kwa ndoa ile huwa nalia sana hadi sasa. Baba alipa mwanamke mwingine na kupata watoto wengine 4 alio wajali sana kuliko sisi wengine, Mungu alivyo wa ajabu, fainali uzeeni, sasa ngoma imebadirika na yeye sasa ndio tegemezi. Ingawaje nilisha msamehe, ila siwezi sahau niliyo yapitia.
Sipendi sana kusikia hizi habari za kuvunjika ndoa na innocent children hawajui pa kukimbilia, Mungu awafanyie wepesi na awapitishe katika njia bora.
Ni hayo tu.
😹😹😹Hayo ni maneno tu nimeandika
Mimi nikinusa usaliti huwa sibaki hata kama nitakuwa na kichanga cha siku mbili
Nilishawaambia lakini, ndoa ilikuwa sio ndoa ni ndoano na imepumulia mashine kwa muda mrefu.
Kiukweli Wolper alikurupuka kuolewa na Rich.
Yeah,msaliti sio wa kumsamehe..usaliti huwa na madhara mengi sana😹😹😹
Ningeshangaa sana.!!
Wewe upo km mimi, nikiona kuna usaliti hata km nilipenda vipi aiseee huwa natoka nduki.!!
Vijana oeni bikra.View attachment 3193375Ile NDOA iliyosimamisha internet. Imevunjika rasmi.
Source: Wolper mwenyewe
BCC: katana ndoa
View attachment 3193318
HakikaVijana oeni bikra.
Malaya hawezi olewa hata siku moja.
Kuvunjika kwa ndoa ni ubinafsi wa wazazi! Kila mara nasema mtoto anataka kuona baba yupo kulia kwake na mama kushoto!Nikwambie tu ndugu yangu, binafsi baada ya wazazi kutengana, dingi aliniondosha kwenye nyumba yake nikiwa 11 yrs old, mama akarudi kwao, mimi nikaenda Dar- nikawa nauza maji yale ya mkokoteni wakati huo miaka ya 1994- ili kulipa school fees na tuition. Chipsi dume na maji ya mkemia pale Azania ndio ilikuwa chakula changu. Nilipitia changamoto ngumu sana, lakini sikukata taama. Nili- Pass vizuri (kwa muujiz wa Mungu) kwenda form five na baada tu ya form 6 nikapata scholarship kuja huku-Europe. Mungu si Athumani- nimetoboa, kazi nzuri, mshara pia, watoto wangu wote kwa sasa pia wametoboa- mmoja yuko Oxford kama scientist na mwingine Cambridge kama Lecturer. Kwa sasa najiona kama ndio na- graduate toka chuo, najiandaa tu nirudi Nyumbani nifie huko. Namshukuru Mungu kwa alivyo nisaidia katika maisha yangu hadi sasa, hakuwahi na hajawahi kuniangusha siku zote ninapo mkimbilia, yeye ndiye amekuwa msaada wangu kwa kila jambo tangu siku ile nilipo timuliwa nyumbani.
Niki-reflect maisha ya kuvunjika kwa ndoa ile huwa nalia sana hadi sasa. Baba alipata mwanamke mwingine na kupata watoto wengine 4 alio wajali sana kuliko sisi wengine, Mungu alivyo wa ajabu, fainali uzeeni, sasa ngoma imebadirika na yeye sasa ndio tegemezi. Ingawaje nilisha msamehe, ila siwezi sahau niliyo yapitia.
Sipendi sana kusikia hizi habari za kuvunjika ndoa na innocent children hawajui pa kukimbilia, Mungu awafanyie wepesi na awapitishe katika njia bora.
Ni hayo tu.
Wolper mdangaji kitambo. Kamiss mipini ya maanaKuvunjika kwa ndoa ni ubinafsi wa wazazi! Kila mara nasema mtoto anataka kuona baba yupo kulia kwake na mama kushoto!
kweli tupu ndugu yangu.Kuvunjika kwa ndoa ni ubinafsi wa wazazi! Kila mara nasema mtoto anataka kuona baba yupo kulia kwake na mama kushoto!
Hakuna jipya hapo maana ndoa za wasanii huwa ni za kisaniiIle NDOA iliyosimamisha internet. Imevunjika rasmi.
Wengine tuna experience ya ajabu maana mke +ve na sie mpaka leo -ve! Haya mambo yaone hivi hivi. Cha msingi ni kukubali kuwa Kufunga ndoa ni kujitoa kwa ajili ya watoto mtakaopata si vinginevyo.Kwa hiyo wakati mnaendeshwa na tamaa huwa mnajua wake zenu wana moyo kama nyie lakini bado mnafanya...makusudi?
Kuna magonjwa,nife kizembe in the name of ndoa?
Isije kuwa ni kiki Wolper nae anataka kutoa nyimbo kama Rose Ndauka