Ndoa ya Jacqueline Wolper yavunjika

Ndoa ya Jacqueline Wolper yavunjika

Wengine tuna experience ya ajabu maana mke +ve na sie mpaka leo -ve! Haya mambo yaone hivi hivi. Cha msingi ni kukubali kuwa Kufunga ndoa ni kujitoa kwa ajili ya watoto mtakaopata si vinginevyo.

Mkuu,acha watu wajitoe tu
Binafsi siwezi kuvumilia mwanaume msaliti,kama huwa ananisaliti aendelee hivi hivi nisijue

Case yako pia sijioni nikiwezana na mwanaume mwenye HIV
 
Back
Top Bottom