Mtili wandu
JF-Expert Member
- Dec 15, 2012
- 8,257
- 11,499
Juzi hapa usiku ilikuja code moja hivi na uzi ukafutwa shaaaa. Sasa naunganosha dot naona mule mule dadeki.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na allivo mzur Yule kakaHakuna mume pale darling.
Wanawake huwa tunafeli kutofautisha mume na mwanaume!
Wengine tuna experience ya ajabu maana mke +ve na sie mpaka leo -ve! Haya mambo yaone hivi hivi. Cha msingi ni kukubali kuwa Kufunga ndoa ni kujitoa kwa ajili ya watoto mtakaopata si vinginevyo.
Ndoa imedumu kama mwenyekiti alivodumu 😹Imedumu sana
🤣🤣🤣🤣Nae akatuvalie gauni duvet na ile pensi nyeusi kwenye uzinduzi wa albamu yake
Binafsi ni Shukrani tu kwa mola kama hapa:Kuvunjika kwa ndoa ni ubinafsi wa wazazi! Kila mara nasema mtoto anataka kuona baba yupo kulia kwake na mama kushoto!
Baada ya kupanuapanua uke kwa muongo mmoja unusu kwa wanaume tofauti na kuufanya kama njia nane za kimara-mbezi, ndiyo akataka atulie hapo!?Hapana, Wolper alimpenda kweli Rich na alishamaliza mambo mengi alidhamiria kutulia na kujenga familia.
Kama ni mtonyo Wolper mwenyewe yuko vizuri sana, sio shida zake.
Hahaha tatizo jamaa ndo anakupiga matukio mpaka unaona ujitoe mwenyewe..Siku nikiamua kupata mtoto wallah vile siachiki
Yaaaaaani unizalishe afu uniache? Hell no!
Kuna mdau atakuja kuniambia niteme mate chini....tayari nimetema halafu narudia nilichoandika hapo juu dadeq!
HayaNdoa imedumu kama mwenyekiti alivodumu 😹
Vijana oeni bikra.
Malaya hawezi olewa hata siku moja.
Unahisi shida kuoa kaskazini?Hizi ndoa sisi ma regular tunazan pesa zinawez tulza ndoa kuw na udumu
Mambo n magumu humu ndan hasa mnao oa njia ya kaskazn
Hahaha tatizo jamaa ndo anakupiga matukio mpaka unaona ujitoe mwenyewe..
Alichokiunganisha Mungu mwanadamu hana uwezo wa kukitenganisha au Bibilia inasemaje?Shida km ni mgonjwa au uchumi umeyumba, sio kushare mapenzi na watu wengine..!!
Muwe mnasoma bible vizuri, ndoa ni muunganiko wa mume na mke na sio watu wengine ndiomana mkaitwa mwili mmoja.!! Pumbavu 😡
Isipokuwa kwa kipi? Uwe unasoma vifungu vyote sio kile unachopenda kukisikia..!!Alichokiunganisha Mungu mwanadamu hana uwezo wa kukitenganisha au Bibilia inasemaje?
Sawa mtumishi, ila nikwambie tu 98% ya ndoa zinazovunjika chanzo huwa ni jinsia yenu sio sisi. Dig deep utapata majibuIsipokuwa kwa kipi? Uwe unasoma vifungu vyote sio kile unachopenda kukisikia..!!