Inavosemekana kutoka chni ya kapeti ni kuwa kibonde na gadner wana uhusiano wa kimapenzi(homo) toka kitambo, ila sijui kati yao nani anakuwa bottomed(anabinuliwa).?
hawana lolote kwani wema mtotogeniveros Dinazarde Heaven on Earth TATIANA yani leo nimemkumbuka sana binamu warumi huko insta Team Wema wamemcharukia Dangote na kumsema ana mtumia wema vibaya kwa maslai yake binafsi... wema kawamind ila bado raia wanamsena afungue hata saloon kuliko kufanywa mcheza shoo wa Dangote.
Atleast leo Team wema wamemtolea uvivu madam wao... I wish binamu angeenda kutupa full story.
ila kweli anatumiwa sana wema kunufaisha watu wanaomzunguka.halafu hili swala la kutokuoa ili usishuke kwenye mziki mi sikubaliani nalo.kama unafanya mziki kama kazi kama kazi nyingine utashukaje ukioa?inamaana successful people wote wenye kazi zao hawajaoa kuogopa watashuka?mbona Jz kaoa na hajashuka.Anajua akimwoa hataweza mtumia ipasavyo kumwingizia kipato zaidi ya kutumia zaidi.
Kwake yeye kweli atashuka maana huyu sio msanii wa kuimba ni msanii wa skendo just imagine bila hizi drama za Wema,Jokate,Peny kuginganisha wasichana angekuwa anaimba tu angefika hapo alipo... huyu na wema hawana tofauti bila kuandikwa nadhani wanaweza umwa zaidi ya ebola
hebu nipe jina la kusearch hiyo account yao ya insta nikaone umbea.
hawana lolote kwani wema mtoto
ye alijiona kalamba dume la shupaza
kumbe kala garasa namba 3 ya mavi
watu yetu macho
wapi meninah atik!!!!!!
Wema naye kazidi nakumbuka watu walikuwa wabashauri team yake lazima wakuite hater na sasa Wema mwenyewe kachuja si kama yule wa siku zote kwanini asijiheshimu kama mamiss wengine yani siku hizi kwenye vigodoro ndo maisha namhurumia sana dangote mwenyewe hana mpango naye zaidi ya kumtumia tu asije kukumbuka shuka kumekucha ajipange
Kumbe siku zote nilikuwa sahihi kutofollow hawa wabana pua kwenye mitandao, Wema angekuwa ni dada yangu option zingekuwa mbili tu atengwe na Familia au wavunje mahusiano na Diamond.
Kumbe siku zote nilikuwa sahihi kutofollow hawa wabana pua kwenye mitandao, Wema angekuwa ni dada yangu option zingekuwa mbili tu atengwe na Familia au wavunje mahusiano na Diamond.
Hivi inaingia akilini unalala na Mwanamke kisha ushauqi wa kumpa unaenda kuandika Instagram?
Kwakweli leo umenifumbuwa macho nilikuwa sijui mengi kuhusu hawa watoto, mana mimi siko active instagram ndio nimeingia huko leo sina hamu.
Kumbe siku zote nilikuwa sahihi kutofollow hawa wabana pua kwenye mitandao, Wema angekuwa ni dada yangu option zingekuwa mbili tu atengwe na Familia au wavunje mahusiano na Diamond.
Hivi inaingia akilini unalala na Mwanamke kisha ushauqi wa kumpa unaenda kuandika Instagram?
Kwakweli leo umenifumbuwa macho nilikuwa sijui mengi kuhusu hawa watoto, mana mimi siko active instagram ndio nimeingia huko leo sina hamu.
Hahaaa Umeona Diamond alivyoandika IG sasa baada michambo.
Eti kama inakuchefua lamba ndimu.. hahaha chezea mtoto wa kwa Ali Maua wewe
Inavosemekana kutoka chni ya kapeti ni kuwa kibonde na gadner wana uhusiano wa kimapenzi(homo) toka kitambo, ila sijui kati yao nani anakuwa bottomed(anabinuliwa).?
Check kuna thread ya majibu ya Diamond ambayo ameandika Insta kwakweli huyu Wema bora atafute hata dereva wa bodaboda amuoe waishi kwa amani, ila licha ya upuuzi wa Diamond nimegunduwa Wema naye kichwa kina matatizo, inawezekana aliyoyaandika domo huwa anamueleza lakini utekelezaji sifuri.Hii issue inahitaji iwe na uzi wake tu maana huko IG leo kunanogaje
Hahaaa Umeona Diamond alivyoandika IG sasa baada michambo.
Eti kama inakuchefua lamba ndimu.. hahaha chezea mtoto wa kwa Ali Maua wewe
hahaaaaaa kafyonya na kutoa dongo juu... chezea muuza mitumba wa Tandale .......... una ndimu hapo unipatie
Wema naye kazidi nakumbuka watu walikuwa wabashauri team yake lazima wakuite hater na sasa Wema mwenyewe kachuja si kama yule wa siku zote kwanini asijiheshimu kama mamiss wengine yani siku hizi kwenye vigodoro ndo maisha namhurumia sana dangote mwenyewe hana mpango naye zaidi ya kumtumia tu asije kukumbuka shuka kumekucha ajipange
Mpwa ntakuheshimu ukinitambulisha mtu yeyote yule wa kawaida kwamba ndio umempenda kuliko aibu hii ya kujitakia ya Wema.hahaaaaaa kafyonya na kutoa dongo juu... chezea muuza mitumba wa Tandale .......... una ndimu hapo unipatie
Ni Shiedaa!! Nilidhani wanaweza angalau kujifunza kitu kwa Marioo na Jide kupigana chini kimyakimya kuliko hii gia ya huyu mswahili wa Tandale.kazidi kama kidogo... kucheza vigodoro majukwaani inahuu.
unaweza kudhani mwanaume anakupenda kumbe ndio anakuchora tu na kwa ile post ya Diamond inaonesha tabia za wema kaamua kuziweka hadharani....
shoga una ndimu hapo.