Ndoa ya Jay Dee na Gardner Habash yavunjika

Inavosemekana kutoka chni ya kapeti ni kuwa kibonde na gadner wana uhusiano wa kimapenzi(homo) toka kitambo, ila sijui kati yao nani anakuwa bottomed(anabinuliwa).?

Atakuwa yule Mzee wa mchepuko
 
hawana lolote kwani wema mtoto
ye alijiona kalamba dume la shupaza
kumbe kala garasa namba 3 ya mavi
watu yetu macho
wapi meninah atik!!!!!!
 
Last edited by a moderator:

Kwake yeye kweli atashuka maana huyu sio msanii wa kuimba ni msanii wa skendo just imagine bila hizi drama za Wema,Jokate,Peny kuginganisha wasichana angekuwa anaimba tu angefika hapo alipo... huyu na wema hawana tofauti bila kuandikwa nadhani wanaweza umwa zaidi ya ebola
 

Wema naye kazidi nakumbuka watu walikuwa wabashauri team yake lazima wakuite hater na sasa Wema mwenyewe kachuja si kama yule wa siku zote kwanini asijiheshimu kama mamiss wengine yani siku hizi kwenye vigodoro ndo maisha namhurumia sana dangote mwenyewe hana mpango naye zaidi ya kumtumia tu asije kukumbuka shuka kumekucha ajipange
 
hawana lolote kwani wema mtoto
ye alijiona kalamba dume la shupaza
kumbe kala garasa namba 3 ya mavi
watu yetu macho
wapi meninah atik!!!!!!

Hahaaa Umeona Diamond alivyoandika IG sasa baada michambo.
Eti kama inakuchefua lamba ndimu.. hahaha chezea mtoto wa kwa Ali Maua wewe
 

Hahaa hao hao team yake wamemtolea uvivu leo
 
Wema anatumia wemasepetu na diamond anatumia diamondplatnumz
Kumbe siku zote nilikuwa sahihi kutofollow hawa wabana pua kwenye mitandao, Wema angekuwa ni dada yangu option zingekuwa mbili tu atengwe na Familia au wavunje mahusiano na Diamond.

Hivi inaingia akilini unalala na Mwanamke kisha ushauri wa kumpa unaenda kuandika Instagram?

Kwakweli leo umenifumbuwa macho nilikuwa sijui mengi kuhusu hawa watoto, mana mimi siko active instagram ndio nimeingia huko leo sina hamu.
 
Last edited by a moderator:

si bure, wewe sio riziki
 

Hii issue inahitaji iwe na uzi wake tu maana huko IG leo kunanogaje
 
Hahaaa Umeona Diamond alivyoandika IG sasa baada michambo.
Eti kama inakuchefua lamba ndimu.. hahaha chezea mtoto wa kwa Ali Maua wewe

Hivi wema anamwandikia mashairi domo,cjui hao team yke ni watoto nini,domo amefika hpo bila wema wakti wameachana ndio domo alikua anatoa nyimbo kali,so hiyo team uchwara hawana jipya.

Madam wao ni muuza sura tu kwenye media instead y kubuni biashara yeye anauza sura n huyo aunt,kutwa kuchwa wko n wema mara cjui sauz mara mwz.,au domo anapiga wote mana tabia zao zinaendana
 
Hii issue inahitaji iwe na uzi wake tu maana huko IG leo kunanogaje
Check kuna thread ya majibu ya Diamond ambayo ameandika Insta kwakweli huyu Wema bora atafute hata dereva wa bodaboda amuoe waishi kwa amani, ila licha ya upuuzi wa Diamond nimegunduwa Wema naye kichwa kina matatizo, inawezekana aliyoyaandika domo huwa anamueleza lakini utekelezaji sifuri.
 
Hahaaa Umeona Diamond alivyoandika IG sasa baada michambo.
Eti kama inakuchefua lamba ndimu.. hahaha chezea mtoto wa kwa Ali Maua wewe

hahaaaaaa kafyonya na kutoa dongo juu... chezea muuza mitumba wa Tandale .......... una ndimu hapo unipatie
 

kazidi kama kidogo... kucheza vigodoro majukwaani inahuu.

unaweza kudhani mwanaume anakupenda kumbe ndio anakuchora tu na kwa ile post ya Diamond inaonesha tabia za wema kaamua kuziweka hadharani....

shoga una ndimu hapo.
 
hahaaaaaa kafyonya na kutoa dongo juu... chezea muuza mitumba wa Tandale .......... una ndimu hapo unipatie
Mpwa ntakuheshimu ukinitambulisha mtu yeyote yule wa kawaida kwamba ndio umempenda kuliko aibu hii ya kujitakia ya Wema.

Yani story za kuongea kitandani na mpenzi wako unakuja kuandika Instagram? nimewadharau wote wawili ni takataka tu.
 
Hivi huyu aunt nae c ni mke wa mtu sasa inakuaje kukatakata viuno hovyo.
 
kazidi kama kidogo... kucheza vigodoro majukwaani inahuu.

unaweza kudhani mwanaume anakupenda kumbe ndio anakuchora tu na kwa ile post ya Diamond inaonesha tabia za wema kaamua kuziweka hadharani....

shoga una ndimu hapo.
Ni Shiedaa!! Nilidhani wanaweza angalau kujifunza kitu kwa Marioo na Jide kupigana chini kimyakimya kuliko hii gia ya huyu mswahili wa Tandale.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…