mpondamali
JF-Expert Member
- Sep 5, 2011
- 501
- 176
Kapost hii huko intagram
Mhhhh mbona majipaka shume yatakamatika mwaka huu kwa hy o post. Kuzusha ndoa ya MTU IPO shakani ni balaa atiiii
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kapost hii huko intagram
Bado tetesi tu..
Mkuu una kiswahili kizuri na tena fasaha, anayekuambia una kiswahili kibaya huyo muongo.Hongera.
teheeteteheeeee... huyu mbibi leo kakanusha hizi tetesi kwa kutumia picha.....a picture speaks a thousand words...!!!
haaahaaa!unampaka mafuta kwa mgongo wa chupa!!!
Jay Dee mwenyewe ni pasua kichwa....bangi zinamzuzua kinoma.
Who cares,afterwards she is old
Kapost hii huko intagram
HAPA MAJUZI kuna mama mmoja MOROGORO anadai kumjua vizuri jide ETI anakimbilia 46 years jamani nampa hongera ana mwili mzuri kama form 2!
Gardner kakataa kuzungumzia ishu hii kwenye mkasi wa Salama
View attachment 178078 habari ndo hiyo
Hakuna kikubwa sana Gadner anachopata kwa Jide zaidi ya mapenzi tu....hivi Gadner bila Jide hawezi kumiliki gari? bila jide hawezi kujenga? bila jide hawezi kuwa na maisha mazuri?...kuna mtangazaji expensive kwa sasa bongo kumshinda Gadner? amekataa offer ngapi nzito kwa ajili ya kusimamia miradi yao? kuna kampuni gani ya promosheni itakataa kuwa na mtu kama gadner bongo hii? Ebu muulizeni kusaga uwezo wa uyu jamaa na mpaka kesho anamtaka........Acheni uswahili bwana G sio mnavyojaribu kumuweka au mlitaka awe analeta taharifa hiki nna mchango flani,kile nna mchango flani....Moja ya udhaifu wa Jide ni ubinafsi,ata akiongelea kitu ni changu sio vyetu,nyumba yangu,gari yangu,mgahawa wangu,mbwa wangu,kochi langu...na yeye hakosei ata akikosea umuombe msamaha.