King Kong III
JF-Expert Member
- Oct 15, 2010
- 56,205
- 79,515
hahahah na mimi nimemuona hakuna Ndoa pale Confirmed , hata Salama alivyosema Mkeo kasema mwite JD Kiruuu!
hahahah na mimi nimemuona hakuna Ndoa pale Confirmed , hata Salama alivyosema Mkeo kasema mwite JD Kiruuu!
Nili bahatika kuangalia interview ya Jana Mkasi nilicho gundua hawa watu hawapendi kuongelea mambo yao kwa with hasa ya ndoa yao!
Mwanzo Gardner alikataa kuongelea kabisa swala la ndoa na Jide lakini mwishoni kuna swali aliulizwa kimtego akajichanganya likaonesha ni wazi hawajaachana!
Maana alipo ulizwa kuhusu ndoa yake na kuhusu Jide alisema hataki kuongelea na alimuahidi Salama ata hakikisha ana mpa Jide kwenye mkasi na Salama alisema atashukuru!
Sasa ukitaka kujua wameacha au hawajaachana kwanza jiuliza kwanini alisema atamleta Jide kwenye Mkasi!
Gardner alionesha kabisa hawajaachana japo hakusema! Hila G ana busara sana!
Nili bahatika kuangalia interview ya Jana Mkasi nilicho gundua hawa watu hawapendi kuongelea mambo yao kwa with hasa ya ndoa yao!
Mwanzo Gardner alikataa kuongelea kabisa swala la ndoa na Jide lakini mwishoni kuna swali aliulizwa kimtego akajichanganya likaonesha ni wazi hawajaachana!
Maana alipo ulizwa kuhusu ndoa yake na kuhusu Jide alisema hataki kuongelea na alimuahidi Salama ata hakikisha ana mpa Jide kwenye mkasi na Salama alisema atashukuru!
Sasa ukitaka kujua wameacha au hawajaachana kwanza jiuliza kwanini alisema atamleta Jide kwenye Mkasi!
Gardner alionesha kabisa hawajaachana japo hakusema! Hila G ana busara sana!
mchaga kazaliwa na kukulia tanga ulimi umenyooka,jamaa ana busara sana na anajua kujibu kiungwana hata mimi naungana na wanaosema kuna mtafaruku sababu hawezi kukwambia mkeo nawe umsahihishe kwa kumwambia amwite jina lake kuna mushkeli hapo.
Jide hajawahi kupendwa na Gardner analazimisha naona baada ya ndoa kuvunjika sasa anataka kujirudisha kwa nguvu kwa jamaa mara interviews mara wine talk halafu anambebea na zawadi jamaa[emoji4][emoji4][emoji4] huyu bibi naona hajawahi kupenda mwanaume mwingine zaidi ya Gardner
Kama haujui MAPENZI USIONGEE KITU.omba tu yasikukuteJide hajawahi kupendwa na Gardner analazimisha naona baada ya ndoa kuvunjika sasa anataka kujirudisha kwa nguvu kwa jamaa mara interviews mara wine talk halafu anambebea na zawadi jamaa[emoji4][emoji4][emoji4] huyu bibi naona hajawahi kupenda mwanaume mwingine zaidi ya Gardner
Afu wamefanana kweli
Yeah,kabisa
π³ππππππππMwambieni Jde niko tayari hadi kumwogesha. Hatakaa ajute kunipata. Aseme tu niende hata asubuhi hii..
Nina PhD ya kumliwaza mwanamke hata awe na machungu vipi.
Umarioo nayo ajira kama ajira nyingine.
Mpeni namba yangu tuyajenge.
Sent from my Infinix X688B using JamiiForums mobile app
Mwambieni Jde niko tayari hadi kumwogesha. Hatakaa ajute kunipata. Aseme tu niende hata asubuhi hii..[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Mwambieni Jde niko tayari hadi kumwogesha. Hatakaa ajute kunipata. Aseme tu niende hata asubuhi hii..
Nina PhD ya kumliwaza mwanamke hata awe na machungu vipi.
Umarioo nayo ajira kama ajira nyingine.
Mpeni namba yangu tuyajenge.
Sent from my Infinix X688B using JamiiForums mobile app
Hata kama siyajui lakini hata macho hayaoni π nimeona ndio mana nimecomment nionavyo bi jide kafa kaoza kwa GKama haujui MAPENZI USIONGEE KITU.omba tu yasikukute
Sent from my SM-A042F using JamiiForums mobile app
Halafu bibi jide ndio mtoa zawadiππ