Ndoa ya Jay Dee na Gardner Habash yavunjika

nataka nikafanye kazi ya udukuzi Global Publisher's....

hata kama hazai ndio uwe unamchepukia kiwazi kiwazi. kuzaa ni majaaliwa

Mbona jide nae anachepuka??? Nani asijua kwamba advocate nkon ndo anamweka jide hapa mjini?? Kunya anye kuku,akinya bata..... aah mwacheni gadner kwanza jide ni kikongwe sana kwake
 
Aliyekuwa mkewe alishaolewa kitambo sana hapa rock city, tena alibadili dini sababu ya mume mpya

mambo ya what goes around comes around.
hongera kwa bidada alikua anaitwa Ida ka sijakosea.
 
Reactions: ram

Ndoa ya aina gani hiyo?? Ya kanisania au msikitini??
 
Wambea mko wengi.

sijui nikujibuje? ila hata hili tayari ni jibu. acha kumchokonoa nyoka kwani mate yake tu ni sumu. kwa kifupi tu mimi umbea ndio unanilipia kodi, unanilisha, unalipia wanangu ada ya shule. Mimi ni mmbea by professional. Umeelewa sasa??
 
Mbona jide nae anachepuka??? Nani asijua kwamba advocate nkon ndo anamweka jide hapa mjini?? Kunya anye kuku,akinya bata..... aah mwacheni gadner kwanza jide ni kikongwe sana kwake
Mtende tiririka basi. unaonekana unawajua vyema
 
Last edited by a moderator:
Mbona jide nae anachepuka??? Nani asijua kwamba advocate nkon ndo anamweka jide hapa mjini?? Kunya anye kuku,akinya bata..... aah mwacheni gadner kwanza jide ni kikongwe sana kwake

1.tumuache tumemshika...

2.mimi nilikua sijui sa ukisema "nani asiyejua" nakushangaa umetumia formula gani kuja na hiyo generalization.

3.hamkuyaona ya ukikongwe tangu wanafunga ndoa?? alikubalije kufunga ndoa na kikongwe??
 
Teh teh teh...watu wepesi kusahau...nakumbuka those days magazeti ya udaku ndio yanaanza kazi...mpaka picha ya mkewe ndani ya shela walirusha na katoto juu...

Jamaa hakumkimbia wife ila kulikua na tatizo na wife wake,so wife alikua n mchepuko na ndio umemuoa
 
Dah!!! Bibie Jide kwa sasa kama hii habari ni ya ukweli ndiyo muda wa kuanza kuwa ninapendeza na mida yote ninaenda kushinda pande za nyumbani lounge


Sent from my BlackBerry Z30 using JamiiForums mobile

Kamata fursa
 
yule mama mnafki tuuu!
kaolewa tena AMESLIM(lkawa muislam)
Na ndoa yao ilikua na migogoro kabla ya jide sema jide kwa kua aliku maarufu ndo maana

Wife alikua mchepuko balaa ule mzigo bila pesa ni shidaah,mana jamaa aliemuoa alikua anachepuka nae wakti yuko na gardner,mana walikua wanaishi nyumba moja then bdae g kumwacha mchepuko ukavuta ki2 ndani
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…