YETOOO
Member
- Nov 25, 2011
- 83
- 37
hao ni richard mziray na cynthia masasi walikua HT Texas ila sasa wapo bongo,hao kina mziray wapo wawili brothers na rafiki yao mmoja walipiga dili la wizi wa insurance wakalamba hela ndefu ndio wakawa deported,ipo siku FBI watawazukia maana hela waliyoiba si kitoto,ndio wamenunua hayo magari ya kifahari mengi na kujenga migorofa...mjini mipango chezea wapare wewe!!!
loh,
mke mwenza mie mmeniache ferriiiiii hata siwajui hao
