loh,
mke mwenza mie mmeniache ferriiiiii hata siwajui hao
hao ni richard mziray na cynthia masasi walikua HT Texas ila sasa wapo bongo,hao kina mziray wapo wawili brothers na rafiki yao mmoja walipiga dili la wizi wa insurance wakalamba hela ndefu ndio wakawa deported,ipo siku FBI watawazukia maana hela waliyoiba si kitoto,ndio wamenunua hayo magari ya kifahari mengi na kujenga migorofa...mjini mipango chezea wapare wewe!!!
Ngoja aje King Kong III ndo ana info za kutosha za Maceleb wa kibongo.
wasiliana na utawala walifute kabisa jukwaa la celebrities manake ndo dhumuni la kuanzishwa kwake kwa post kama hizi..
Kuhusua kujaza saver, ikikaribia kujaa wahusika watatutaarifu, la sivyo ka hauna cha ku comment unaweza kukaa kimya.
. Www.IRS.com,westheimer .north hiding place .uyo mzungu hapo nyuma kama sijamsoma!!??
House for rent.ya kupanga.richard ameshazoea hela.hizo nguo Za harusi walinunua texas.saa hizi pesa zimeshaisha.Richard mshikaji nilihisi utakaa private .haya Cynthia mwanaume akikupenda hakufundishi wizi.ulifungwa Houston umerudishwa .Richard akikukimbia si unamjua,utaweka wapi sura .hayaSafi sana Town Ukiwa na Mjengo kama huu bhaaaasiiiiii.
wanaitwa cynthia masasi na richard mziray! mke mwenza upo???
House for rent.ya kupanga.richard ameshazoea hela.hizo nguo Za harusi walinunua texas.saa hizi pesa zimeshaisha.Richard mshikaji nilihisi utakaa private .haya Cynthia mwanaume akikupenda hakufundishi wizi.ulifungwa Houston umerudishwa .Richard akikukimbia si unamjua,utaweka wapi sura .haya
Kumbe tupo wengi tusio wajua aiseekweli darslamu masupu staa wengi....
Ndo kina nani hao?
Huku chanika pia wanajulikana?
Acha wale jasho lao la kupiga box mbele huko,kama waliiba na kuweza kuhamisha mamilioni ya dolar bila kukamatwa heri yao,maana si rahisi kufanya hivyo ati,kila mtu atapambana na njia yake ya mafanikio,wivu hautakiwi!
Acha wale jasho lao la kupiga box mbele huko,kama waliiba na kuweza kuhamisha mamilioni ya dolar bila kukamatwa heri yao,maana si rahisi kufanya hivyo ati,kila mtu atapambana na njia yake ya mafanikio,wivu hautakiwi!
Wewe umeshawahi kuandikwa Gazetini au hata kuanzishiwa thread hapa JF?Huyu Richard ndo nani? Ma celeb wa siku hizi bwana, kaaaaaaaaaaaaaazi kwelikweli