Ndoa ya Lola na Peter: Umri na ukabila unavyoitesa familia ya akina P-Square

Ndoa ya Lola na Peter: Umri na ukabila unavyoitesa familia ya akina P-Square

Zinduna

JF-Expert Member
Joined
Nov 6, 2011
Posts
2,378
Reaction score
3,383
1695180_Lola_jpg145e4d82f47e2a9b99325f7186260a44


Lola


1695179_peter-okoye-wedding-video_jpgefa8df004f1c59284e1705d21497be1b


Peter na Lola

Nimekuwa nikisikia kuhusu kutofautiana kwa Peter na Paul vijana wa Kinaijeria wanaounda kundi lao la P- Square.

Hivi karibuni waliibuka katika mitandao ya kijamii na kuufahamisha umma wa mashabiki wao kwamba wamamemaliza tofauti zao.

Lakini kumbe bado ugomvi wao unafukuta chini kwa chini, kwani hivi karibuni Peter amenukuliwa akisema kwamba kuisha kwa tofauti zake na familia alimozaliwa kutategemea iwapo tu mkewe Lola ataheshimiwa.

Inadaiwa kwamba mama yake Peter alimkataa Lola tangu mwanzo kwa sababau anatokea katika kabila la Yoruba wakati Peter anatokea katika kabila la Igbo. Kwa mila na desturi zao haya makabila hawaoleani kwa sababu zao wanazozijua, ingawa inadaiwa Igbo wanaamini kwamba wanawake wa Ki Yoruba wana mkosi na wanapenda kumiliki waume zao kwa maana wana sauti katika nyumba.

Lakini pia kuna tatizo la tofauti ya umri kati ya Peter na Lola. Kwa umri Lola ni mkubwa kuliko Peter na hiyo ndiyo iliyomjengea mama yake Peter hofu kwamba mwanaye atakwenda kumilikiwa na Lola na hatakuwa na sauti. kwa hiyo hata kabla hajafariki alishamkataa Lola kuolewa na mwanaye. Lakini Peter kwa kiburi keshamzaliwaha Lola watoto wawili, jambo ambalo limemuwia gumu kuvunja ndoa yake na Lola.

Kwa upande wa wanafamilia, karibu wote wamepinga ndoa yake kwa madai kwamba Peter amekwenda kinyuma na mama yake mzazi na kwa sababu alifariki akiwa bado ameshikilia msimamo wake ndipo hapo swala hilo linapozidi kuwa gumu.

The saga is continue...........
 
Kwa upande wa wanafamilia, karibu wote wamepinga ndoa yake kwa madai kwamba Peter amekwenda kinyuma na mama yake mzazi na kwa sababu alifariki akiwa bado ameshikilia msimamo wake ndipo hapo swala hilo linapozidi kuwa gumu.

The saga is continue...........
Nimekuelewa sana hapo uliposema karibia wote, siyo wote.....
Kwa kufwatilia kwangu kwa mbali nakumbuka Paul alikuwa mstari wa mbele kwenye hii harusi, na kama nakumbuka alisema yeye hahusiki na huo mkanganyo sababu Peter kampenda huyo na ni mkewe, sasa kaanzaje ugomvi baada ya kumkubali Lola?
Katika jamii ugomvi hauepukiki, iwe kwa ndugu au watu tu. Hili la kusingizia mtu fulani ndo chanzo cha ugomvi huwa kinanitesa sana. Huu ugomvi ungekuwa kati ya Peter na kaka yao ningekubali kabisa kuwa chanzo ni kutomkubali Lola, lakini kwa Paul? sijui......
Lakini hata kama chanzo ni kutomkubali Lola, nani mwenye kosa? ni Lola au hao wasiomkubali? yeye kapendwa na kapenda, aache kufwata moyo wake sababu third parties hawamtaki? who are they?
Asante The Boss kwa kunishtua hapa, najua unakumbuka uzi wangu, lol!
 
Last edited by a moderator:
Nimekuelewa sana hapo uliposema karibia wote, siyo wote.....
Kwa kufwatilia kwangu kwa mbali nakumbuka Paul alikuwa mstari wa mbele kwenye hii harusi, na kama nakumbuka alisema yeye hahusiki na huo mkanganyo sababu Peter kampenda huyo na ni mkewe, sasa kaanzaje ugomvi baada ya kumkubali Lola?
Katika jamii ugomvi hauepukiki, iwe kwa ndugu au watu tu. Hili la kusingizia mtu fulani ndo chanzo cha ugomvi huwa kinanitesa sana. Huu ugomvi ungekuwa kati ya Peter na kaka yao ningekubali kabisa kuwa chanzo ni kutomkubali Lola, lakini kwa Paul? sijui......
Lakini hata kama chanzo ni kutomkubali Lola, nani mwenye kosa? ni Lola au hao wasiomkubali? yeye kapendwa na kapenda, aache kufwata moyo wake sababu third parties hawamtaki? who are they?
Asante The Boss kwa kunishtua hapa, najua unakumbuka uzi wangu, lol!

1695768_Psquare_are_back_jpg1fddad1a83309c3de3386e434f8fd35e


Fixed Point
, nakubaliana na wewekw3amba Paul alikuwa mstari wa mbele katika harusi ya pacha mwenzie Peter, lakini kuna minong'ono kwamba kaka yao ana mchango katika tofauti zao.

Ngoja nifanye utafiti mdogo nitaendelea kuweka dondoo hapa
 
Msala wote huu hapa:

P-SQUARE: Peter gives condition for peace

Twins now on talking terms

Nearly one week after Jude Okoye, elder brother to singing duo Paul and Peter Okoye (P-Square) posted on twitter that he was ‘done', the stand-off in the Okoye family is far from abating with insiders telling Vanguard that Peter had refused to be appeased despite interventions from close friends.

Peter reportedly gave condition for peace, saying his wife, Lola, must be accepted and respected by the family or risk total isolation from him.

Several sources contacted by Vanguard confirmed that this was his only condition for peace.
One insider said: "Peter is tired of the long years he has had to plead with his family to accept the woman he has decided to spend the rest of his life with.

"He wants Lola to be welcomed in the family just as Anita (Paul's wife) has been accepted irrespective of her tribe or age. This is his condition."

Although the twins had fought at their dance rehearsal earlier in the month, Vanguard learnt this was not what had ultimately prompted Peter to severe his relationship with P-Square.

The source said Peter "has taken their attitude towards Lola even more to heart than what role he plays in P-Square, be it singing or dancing.

"He can no longer endure the ill-affection concerning his wife."

Sources further said that the crisis had escalated after it was learnt that Peter had allegedly bought a house for Lola in the United States of America, USA.

Paul dilemna
Vanguard learnt that Peter's twin, Paul is currently confused as he does not know who to support. Vanguard gathered that the twins had returned to talking terms, but that Paul is yet to show full support for Peter's cause.

The source said: "The twins adore their mother and before she passed on, she had made it clear she was not in support of Peter and Lola's union.

"Maybe that is why it is difficult for Paul. He does not want to be seen as being completely against the wish of their mother."

Vanguard leant that he is the one making the most effort to bring an end to the crisis by appealing to Peter and the rest of the family.

Jude Okoye
Their elder brother, Jude Engees Okoye, has also refused to be placated.

According to the source, "there have been accusations and counter-accusations between Jude and Lola, each alleging that the other is rude and disrespectful.

"Jude holds on to this as his reason for not accepting Lola. But this is not the only reason."
Peacemakers, who are industry friends and close business associates have however intensified efforts in resolving the crisis.

Hope
Also their social media pages show that they still identify with their pop brand name.
At press time, on Peter's twitter wall, the pop star still goes with the handle @PeterPSquare, CEO P-Classic; Konvict Muzik/Square Records/Universal Music Group.

Paul Okoye also goes by his famous handle, @rudeboypsquare.

Jude Okoye, despite his "it over! I'm done!" tweet, his handle still goes by @judeengess, President/CEO Square Records, Northside Music Inc and Northside Entertainment Ltd. PSquare's Manager/Producer/Director.

Sources, however, warn that the brand is still in dangerous territory, saying "anything can still happen tomorrow.

"You could wake up to hear the group has officially disintegrated or reconciled. We can only watch, wait and pray."

P-SQUARE: Peter gives condition for peace - Vanguard News
 

Fixed Point
, nakubaliana na wewekw3amba Paul alikuwa mstari wa mbele katika harusi ya pacha mwenzie Peter, lakini kuna minong'ono kwamba kaka yao ana mchango katika tofauti zao.

Ngoja nifanye utafiti mdogo nitaendelea kuweka dondoo hapa
Umeona eeehhhh!
siajabu huyo kaka mtu alikuwa anawaonea wivu wadogo zake na akawa anatafuta namna ya kuwatenganisha tangu zamani, hii ndo kachukulia loop hole. Na watazamaji badala ya kufanya analysis zinazofaa tuna-make conclusion kwa kutumia majungu...... sijui tutafika!
 
Nimekuelewa sana hapo uliposema karibia wote, siyo wote.....
Kwa kufwatilia kwangu kwa mbali nakumbuka Paul alikuwa mstari wa mbele kwenye hii harusi, na kama nakumbuka alisema yeye hahusiki na huo mkanganyo sababu Peter kampenda huyo na ni mkewe, sasa kaanzaje ugomvi baada ya kumkubali Lola?
Katika jamii ugomvi hauepukiki, iwe kwa ndugu au watu tu. Hili la kusingizia mtu fulani ndo chanzo cha ugomvi huwa kinanitesa sana. Huu ugomvi ungekuwa kati ya Peter na kaka yao ningekubali kabisa kuwa chanzo ni kutomkubali Lola, lakini kwa Paul? sijui......
Lakini hata kama chanzo ni kutomkubali Lola, nani mwenye kosa? ni Lola au hao wasiomkubali? yeye kapendwa na kapenda, aache kufwata moyo wake sababu third parties hawamtaki? who are they?
Asante The Boss kwa kunishtua hapa, najua unakumbuka uzi wangu, lol!
wanaijeria wametovuruga balaa

sasa ni kufuatilia tu, si joshua, si cocaine, si peter na paulo you name it

haya....
 
1695768_Psquare_are_back_jpg1fddad1a83309c3de3386e434f8fd35e


Fixed Point
, nakubaliana na wewekw3amba Paul alikuwa mstari wa mbele katika harusi ya pacha mwenzie Peter, lakini kuna minong'ono kwamba kaka yao ana mchango katika tofauti zao.

Ngoja nifanye utafiti mdogo nitaendelea kuweka dondoo hapa
Hizo tafiti utafanyia kupitia nini?
 
Wanawake ndo chanzo cha tatizo mahala popote pale duniani. Hata lingekuwa sio hilo kwakuwa washasogeza wanawake lazima wangekosana tu! Sumu ya eva kwa baba adamu pale hedeni itatutafuna sana!!
 
Kuingilia mahusiano ya watoto just kwa personal interest ni hatari sana. Wakwe wa aina hii ni hatari sana. Ils nimegundua wazaxi wanapenda sana kuingilia affairs za watoto walio na uwezo kifedha na mali!!! Wivu syndrome"!! Kina hohehahe hutasikia hata wakifuatwa hata akuoa fisi.
 
Si wavunjike tu watuwache tupumue.....................

Halafu Piere anaonekana ni stubborn sanaaa si ajabu yeye ndo anakuza mambo
 
Tusiposhikamana wakati huu watanzania,dhambi ya ubaguzi sisi pia itatutafuna!

Kwa Nigeria ni too much sio kama tunavyochukuliana kibongobongo hawa kwa ukabila hata Kenya hawaoni ndani wako too much Wayoruba, WaIgbo au WaHausa wana na tv station zao kabisa mbaya zaidi hali hii wanaichukulia hadi kwenye mambo ya kijamii mf kuoa au kuolewa... Cc Janjaweed
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom