Ndoa ya Lulu, Majizzo yatangazwa Rasmi leo...

Vipi hii ndo ishafungwa??
 
Yametimia leo, Rais wa wambeya hujawahi kuiangusha JF kuwa be the first to know kwa udaku first class. [emoji2][emoji2]
 
Wataachana tu, sasa send off ya nini kusumbuwanwatu michango?

Tumetoka kwenye January, wachangaji tumepigika.

Wewe ni mmoja wa 'wachangaji' kwa Majizzo au unamaanisha kuchanga nini?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…