Sijaoa na siwezi kuoa demu ambaye sio bikra..Mkeo ulimkuta na bikira?
Ukifika muda wa kuoa utaelewa somoSijaoa na siwezi kuoa demu ambaye sio bikra..
And finally,kuna tofauti kati ya kutokumkuta mkeo bikra na kujua mtu/watu waliomla mkeo na video footage zipo
Okay,let me wait and seeUkifika muda wa kuoa utaelewa somo
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] hamna mzee si unajua hili jukwaa huru[emoji3][emoji3]nimekuvutia kasi tokea kwenye ule uzi wa kina Kiranga na Mrangi maborntown
wewe kama mimi kabisa [emoji3][emoji3][emoji3]. vipi kuhusu umri?mimi lazima nioe mbichi kabisa [emoji3][emoji3][emoji3]Sijaoa na siwezi kuoa demu ambaye sio bikra..
And finally,kuna tofauti kati ya kutokumkuta mkeo bikra na kujua mtu/watu waliomla mkeo na video footage zipo
umri nitavuta wa around 22-25wewe kama mimi kabisa [emoji3][emoji3][emoji3]. vipi kuhusu umri?mimi lazima nioe mbichi kabisa [emoji3][emoji3][emoji3]
😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂Sijaoa na siwezi kuoa demu ambaye sio bikra..
And finally,kuna tofauti kati ya kutokumkuta mkeo bikra na kujua mtu/watu waliomla mkeo na video footage zipo
Mzee nini mbona unacheka sana?[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
"kuna tofauti kati ya kutokumkuta mkeo bikra na kujua mtu/watu waliomla mkeo na video footage zipo"Mzee nini mbona unacheka sana?
[emoji23][emoji23]Naaam..kuna utofauti mkubwa"kuna tofauti kati ya kutokumkuta mkeo bikra na kujua mtu/watu waliomla mkeo na video footage zipo"
Mkuu mimi ni mpenzi wa muziki mzuri,wasanii wote duniani wanaopiga miziki mizuri nawakubali....All kinda genre!mzee unamkubali msanii gani Marekani?
Umejibu tena kwa swali[emoji23][emoji23]kwa nini mzee [emoji3][emoji3][emoji3]
Jamaa ni hater wa kiwango cha lami. Utadhani anajua asset zote za majizo!!Tatizo liko wapi wakiishi hapo?
Milionea??? Mwambie amalize kwanza nyumba ya Mbweni Mpiji ndio aoe.
Nawashauri waendelee kupiga tizi,kula vizuri na kuzingatia ushauri wa daktari bila kusahau kunywa dawa kwa wivu mbaya sana Ho gera zake kimbe a ajenda atamalizia tu haina shida nyumba haij3ngwi siku moja na familia inaanza na ndoa halali
Duuh...! Yaani kwambaaaaa?Milionea??? Mwambie amalize kwanza nyumba ya Mbweni Mpiji ndio aoe.
Nawashauri waendelee kupiga tizi,kula vizuri na kuzingatia ushauri wa daktari bila kusahau kunywa dawa kwa wakati.