Pennsylvania
JF-Expert Member
- Sep 25, 2019
- 335
- 503
Dah, umewaza kama mimi.[emoji23][emoji23]Bii12 anasemaje?,,
[emoji1787][emoji16]Weka Picha....Hata Idrisa naye tuliambiwa ana mijengo Kigamboni.
Miss umbea 2020 umewasili![emoji16][emoji1787][emoji16]
Halafu ndio wanasema ni Bilionea!!! Amezungukwa na majirani wamepiga MANSION za hatari,yeye kapiga servant quarter huku akidunduliza aweze kujenga nyumba ya ndoto yake.Mweeh!
Mbona servant quarter [emoji849][emoji15]
Bahari Beach ni Low Density Area,Viwanja vya kule vinaanzia eka moja,wengi waliochukua ni "WASHUA" ,watu wenye ukwasi wa hatari ,viwanja vya kule vinaanzia mil 600(Kuanzia Badget Hotel ,Legder Plaza na kuendelea mpaka mpakani mwa kunduchi, Kadri unavyoelekea Ras Kilomoni ndio unaelekea kwenye "B" maana unakuwa kando ya Bahari.Mmmh si kwa mashauzi yale[emoji848][emoji848][emoji848][emoji849][emoji15]
Shangaa sana aseeHalafu ndio wanasema ni Bilionea!!! Amezungukwa na majirani wamepiga MANSION za hatari,yeye kapiga servant quarter huku akidunduliza aweze kujenga nyumba ya ndoto yake.
Chura unikome[emoji1787][emoji1787][emoji16]Miss umbea 2020 umewasili![emoji16]
Shangaa sana asee
N yale marange ya nani asee?[emoji848]
Ila bongo[emoji16]
Uliyaona wap bibieShangaa sana asee
N yale marange ya nani asee?[emoji848]
Ila bongo[emoji16]
40 si ndogo shekheRange kwa sasa bei zake ni simple ukiwa na 40m una drive range.
Pole EvilSpirit acha kumtusi warumiNamuonea wivu lulu, katoto kadogo kameokota ember dodo, akina warumi tutazeeka midomo wazi tukipiga umbea kuolewa hatuolewi, inabid niache umbea niolewe miaka 45 sina mume wala mtoto mmh
Pole EvilSpirit acha kumtusi warumi
Shangaa sana asee
N yale marange ya nani asee?[emoji848]
Ila bongo[emoji16]
Nimefanyeje bibie,?We unapenda ugomvi eeh? Au una hamu ya kuchambwa asubuhi asubuhi
Sasa upumzike huko uliko, tena hiyo ban iwe ya miaka 2Unikome, we endelea kunifuatilia sasa , achana na mimi na sitak kukuona kwenye thread zangu kama huna adabu mshenz mkubwa wewe, unanishobokea nimezaa na baba ako mimi mxieeww
Nimefanya Comparison na Price za mwanzoni wakati zina trend 2006-2010 ambapo zilikuwa zinafika hadi 200m.40 si ndogo shekhe
Itabidi mwaka huu usiishe namimi uninunulie range kama lulu ππNimefanya Comparison na Price za mwanzoni wakati zina trend 2006-2010 ambapo zilikuwa zinafika hadi 200m.
Inshallah tuombe mungu ,jiwe aondoke madarakani lissu aachie pesa kama kipindi cha JEIKEI.Itabidi mwaka huu usiishe namimi uninunulie range kama lulu ππ
Haaaaa Haaaa Asante wangu,Inshallah tuombe mungu ,jiwe aondoke madarakani lissu aachie pesa kama kipindi cha JEIKEI.