Ndoa ya Lulu, Majizzo yatangazwa Rasmi leo...

Ndoa ya Lulu, Majizzo yatangazwa Rasmi leo...

Mmmh si kwa mashauzi yale[emoji848][emoji848][emoji848][emoji849][emoji15]
Bahari Beach ni Low Density Area,Viwanja vya kule vinaanzia eka moja,wengi waliochukua ni "WASHUA" ,watu wenye ukwasi wa hatari ,viwanja vya kule vinaanzia mil 600(Kuanzia Badget Hotel ,Legder Plaza na kuendelea mpaka mpakani mwa kunduchi, Kadri unavyoelekea Ras Kilomoni ndio unaelekea kwenye "B" maana unakuwa kando ya Bahari.
 
Halafu ndio wanasema ni Bilionea!!! Amezungukwa na majirani wamepiga MANSION za hatari,yeye kapiga servant quarter huku akidunduliza aweze kujenga nyumba ya ndoto yake.
Shangaa sana asee

N yale marange ya nani asee?[emoji848]

Ila bongo[emoji16]
 
Namuonea wivu lulu, katoto kadogo kameokota ember dodo, akina warumi tutazeeka midomo wazi tukipiga umbea kuolewa hatuolewi, inabid niache umbea niolewe miaka 45 sina mume wala mtoto mmh
Pole EvilSpirit acha kumtusi warumi
 
Shangaa sana asee

N yale marange ya nani asee?[emoji848]

Ila bongo[emoji16]

Nilimuona lulu siku anaendesha Range Rover , nikasema mtoto ka win maisha, wacha ale bata, kamesota Jaman kale katoto , toka enz za tabata wanakaa ka chumba kamoja na Mama ake
 
Nimefanyeje bibie,?

Unikome, we endelea kunifuatilia sasa , achana na mimi na sitak kukuona kwenye thread zangu kama huna adabu mshenz mkubwa wewe, unanishobokea nimezaa na baba ako mimi mxieeww
 
Unikome, we endelea kunifuatilia sasa , achana na mimi na sitak kukuona kwenye thread zangu kama huna adabu mshenz mkubwa wewe, unanishobokea nimezaa na baba ako mimi mxieeww
Sasa upumzike huko uliko, tena hiyo ban iwe ya miaka 2
 
Back
Top Bottom