Ndoa ya Martha Mwaipaja haipo tena?

Maisha ya ndoa yana changamoto nyingi sana. Hata hivyo, Kwa mtu aliyenipa kiakili hawezi kufurahia matatizo ya watu wengine

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ndio ujue kama umejitwika bomu ipo siku litalipuka tu hata ukilishikilia kama yai....wanaume hawanaga shukrani, ukifanya hili wanatamani lile

Sent using Jamii Forums mobile app
Utii na unyenyekevu tu havitoshi kuilinda ndoa bali uvumilivu ndio msingi wa ndoa.
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] Kama ni kweli alisema hivyo pole yake, ngoja tumcheke hakuna namna
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…