Mwanamke mpumbavu huibomoa nyumba yake kwa mikono yake ye mwenyewe.... A good woman can make her husband more good
:: hapo Martha nahisi alitumia advantage ya uchungaji kumvuruga Kijana wa watu akijua hata react, its too much now....
::tabia ya uzinzi hainaga kinga waheshimiwa, kama alikuwa na mawasiliano ya wa ujanani (lucekelo) nahisi haikuwa simu tu they met sometimes and alipapuchuliwa, so the glass was full I guess..
::mchungaji naye nahisi hakumuoa Martha pengine alioa u superstar wa Martha ajinufaishe kidini but he finally failed using her fame making what she want..
::non of them was serious..waliongozwa na mihemko, ngoja ife wafikirie upya...
:
😛robably ni vipindi vya mpito tu, we wish recovery soon..
::NDOA JAMANI, UKIONA WANAGOMBANA WAPENDANAO SHIKA JEMBE UKALIME..
::Hapa hakunaga cha kuforecast, hahahahaha
Sent using
Jamii Forums mobile app