Ndoa ya Martha Mwaipaja haipo tena?

Vinyaki ! [emoji50][emoji1][emoji53][emoji50][emoji58][emoji4][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu nataka nioe wiki ijayo

Naomba ushauri !? [emoji18]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Maisha ya baadhi ya walokole yamejaa unafiki mwingi sana ndio maana sometimes mimi naamini hawa tunawaona machoni petu (malaya,walevi nk ) hawafai lakini unaweza kuta moyoni kwa Mungu bado wana nafasi na usishangae wakauona ufalme wa Mungu.
 
"Kwani ndoa ni lazima?"

Siku hizi ndio naanza kuona mantiki ya swali lako hili bibie Zurie

Nashauri watu waoane kwenye umri fulani hivi wa makamo.. Akili zikiwa zimetulia.. Ujanani hapana..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…