[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Martha ni yupi apo ?
Mimi niliishia kwenye 'Thamani ya wokovu wangu' sijui ndio lilikuwa jina la album sina hakikanyimbo zake siku hizi hazieleweki kabisa, ule uwepo hakuna tena!!amekazana kutoa nyimbo kila mwezi ila wapi''
Nilidhani niko peke yangu!Mimi mwenyewe nimeshangaa eti Shusho? Nilishaacha siku nyingi kusikiliza nyimbo zake hata sielewi anaimba nini siku hizi
Sent using Jamii Forums mobile app
Haha subiri waje wakwambie unahukumuNilidhani niko peke yangu!
Shusho ni albums zake mbili za mwanzo tu nyingine ni full usanii. Roho wa Mungu anisamehee lakini nadhani ndani amebaki ni debe tupu linalo lia!
[emoji23][emoji23][emoji23] afadhali umenipa moyo, ni kama ulivyosema...our wife is so niceSiyo kuwatisha na inawezekana wa kwako akawa vizuri tu na ukadumu naye, ni sawa na mtu akisema Sumbawanga kuna wachawi haina maana kila mtu wa sumbawanga ni mchawi unaweza kuta wachawi ni asilimia 5 au 10. Ndivyo ilivyo kwa wanawake wa kinyakyusa, hasa mnyakyusa aliyekulia kwenye jamii ya wanyakyusa ukitoa hawa wanyakyusa wa Dar.
Mnyakyusa hanaga inferiority complex, anajitutumua na kujiona bora kuliko kitu chochote. Huo mfumo dume wa wanawake wa mbeya ni ile kujiamini sana na kujiona anaweza, sasa akizidisha mwanaume hatakubali kuwa chini ya mwanamke. Kujiamini na kujisikia kukizidi ndiyo kiburi na dharau zinazaliwa. Sasa ukimkuta mlokole ndiyo hicho kiburi cha uzima kila mtu anamuona hana Roho Mtakatifu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Waje tu ila watueleze ni kwa nini album 2 za mwanzo tu ndizo zenye uwepo!
Watakwambia mshamba. Kuna mmoja nilimwambia mimi gospel za siku hizi mbona sizielewi? Akaniambia ndio gospel za kisasa loh nikasema kwa heriWaje tu ila watueleze ni kwa nini album 2 za mwanzo tu ndizo zenye uwepo!
Our wife .....[emoji23][emoji23][emoji23] afadhali umenipa moyo, ni kama ulivyosema...our wife is so nice
Sent using Jamii Forums mobile app
She is actually my sister in law, ameolewa na kaka yangu mimi ke mkuu[emoji3][emoji3][emoji3]Our wife .....
mmemuoa wangapi? Kumbe siku hizi mwanamke anaolewa na wanaume zaidi ya mmoja?
Hapo sawa nimekupata!She is actually my sister in law, ameolewa na kaka yangu mimi ke mkuu[emoji3][emoji3][emoji3]
Sent using Jamii Forums mobile app
Waniite vyovyote vile watakavyo kwa kweli!Watakwambia mshamba. Kuna mmoja nilimwambia mimi gospel za siku hizi mbona sizielewi? Akaniambia ndio gospel za kisasa loh nikasema kwa heri
Sent using Jamii Forums mobile app[/QUOT9E]
Mara nyingi wanyenyekevu awe ke au me huwa wanateseka sana kwny suala zima ka mapenzi.
Ni kweliMara nyingi wanyenyekevu awe ke au me huwa wanateseka sana kwny suala zima ka mapenzi.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mimi ni muhenga pia. Mwasumbi namkumbuka. Yupo pia David Nkone mjomba wake Upendo Nkone.Kuna mwimbaji mmoja wa zamani sana anaitwa Mwasumbi, kama wewe muhenga mwenzangu utakuwa unamkumbuka
Sent using Jamii Forums mobile app