MBEBA MAONO KAJA
JF-Expert Member
- Dec 24, 2013
- 365
- 195
Jf ni hatare.
Watu wanajua kuunga dot za uwongo na kweli
Niko na faraja hapa na mh.nyalandu wanawashangaa
Pivate affairs?
Mbona ndugu yangu uliambiwa tu kauli ya kawaida kuwa ni jukwaa la celebrity au kuna ubaya wowote?Sio poa huko unakotaka kufika
Yaani inakera Sana aiseee......waangaliege wanawake wakuchukua bwana.We mtu kama aunty wa kazi gani?
Dah mi naumia sana ukitukanwa Heaven on Earth
usiumie mie ndio nnaetukanwa ndio napaswa kuumia........
Mm binafsi siumii ila Roho yangu ndio inayoumia sana, cjui kuna nn kati yenu
hahaaaa nikulize wewe.. eti kuna nini kati yetu
Wanashangaa nini?habari ya mjini ndo hyo mimba ya aunty ya waziri
Moyo umeniamia haupendi kuona unaumia kwa namna yyt ile, ni wenyewe uumizwe kwa niaba yako???
Mtaji Wa maskini nguvu zake mwenyewe
habare ndio hiyo.......
kwanini nife na njaa na uchumi nimeukalia
sasa anza kuyazungumza yako hapa kwenye celebrity ndo uanze ya nyarandu.unawadanganya watu ooooh am stressed sijui wanaume sijui nn finding sympath tushakustukia na ndo maana tunakupotezea tu siku hiz.cheap ho!!!
sasa anza kuyazungumza yako hapa kwenye celebrity ndo uanze ya nyarandu.unawadanganya watu ooooh am stressed sijui wanaume sijui nn finding sympath tushakustukia na ndo maana tunakupotezea tu siku hiz.cheap ho!!!