mbona faraja na yeye kaliwa sana na yule bosi wa bank
tena meeting point yao ilikuwa mlimani city
anakuja na gari lake anaingia kwenye gari la huyo jamaa
Mose iyobo si ndio baba?au ni danganya toto tu?Mpango uliopo ni kwa Aunty Ezekiel Toto la Kinyambu kwenda kujifungulia Marekani kama ilivyo kwa Faraja kwa watoto wake wawili
Weropoka hapa mwenziokesho ana post insta MY RIDE OR DIE, THE LOVE OF MY LIFE! Utaumbukajeeeee!
Nyalandu ni mnyiramba ila ni wale wanaoitwa wanyisanzu ambao basically ni wanyiramba tuu...ni sawa na wanyantuzu ni wasukuma tu wa bariadi...njoo vile mkuu.Faraja ndo mnyiramba! Sasa imekuwaje mnyaturu akawa mbunge wa Iramba? Si kwa wanyiramba kule?
Ukiwa unafanya uchunguzi uwe makinj maana yule ni Chakarika In America, fupisha hayo maneno.
Haya sasa
hapa clebrities forum ulitaka tujadili nini hasa........
Wanashangaa nini?habari ya mjini ndo hyo mimba ya aunty ya waziri
hahaaaaaaaa its not a laughing matter we ukinipotezea
sina cha kupunguza wala cha kuongeza... kutafuta sympath JF
unaumwa kichaa wewe..yes am CHEAP if it makes you sleep at night mxiuuuuuuuuuuuuu
Kwani Aunty sio mtu? Hana makuu dada wa watu? Aferall ni mzuri pia. Usimnange class mate wangu.
Hivi Nyalandu anataka urais wa wapi jamani urais siyo kama kukata tiketi ya ndege na kukaa masaa kadhaa angani....!
mbona faraja na yeye kaliwa sana na yule bosi wa bank
tena meeting point yao ilikuwa mlimani city
anakuja na gari lake anaingia kwenye gari la huyo jamaa
Faraja hana jeuri ya kumuacha muheshimiwa hata robo. Ni wale watu wa SHOW BUSINESS bora hata ateseke lakini aonekane kaolewa. Mnyiramba yule na si unajua wanyiramba kwa kupnda ndoa hawana mpinzani? Nyalandu hata fanyaje Faraja haachii ngazi pale.
na kweli Nyalandu hasahau kuwa rahisi :becky:
mbona faraja na yeye kaliwa sana na yule bosi wa bank
tena meeting point yao ilikuwa mlimani city
anakuja na gari lake anaingia kwenye gari la huyo jamaa
Ndoa nyingine tabu tupu