Ndoa ya Mh. Lazaro Nyalandu inapumilia mashine

Hicho ndicho kipaji chake, mabinti kila kona, siku akiwa raisi si ndo ikulu itakuwa dangulo? Aunt ezekiel awe first lady? My gosh!
 
Una akili za kipumbavu sana

Hata zikiwa za kisengerema HANGOKI MTU PALEEEEEE! HIVI NAVOSEMA DILI LA SAUDI UNAFIKIRIANI FEW CHANGE? Thubutuuuuuuuuuuuuuuuu! Kamahakungoka before sahivi ndo hangoki kabisaaaaaaaaaaaaaaaaa!
 
Hata zikiwa za kisengerema HANGOKI MTU PALEEEEEE! HIVI NAVOSEMA DILI LA SAUDI UNAFIKIRIANI FEW CHANGE? Thubutuuuuuuuuuuuuuuuu! Kamahakungoka before sahivi ndo hangoki kabisaaaaaaaaaaaaaaaaa!
af wewe mbona hujaleta pipa??
usikifr nakuangalia kwa jicho zuri!
mfyuuuuuu
 
Lara 1 upo maana ni mda cjakuona kwenye jukwaa nikazani labda wamekupiga ban,,,, ukweli kota hawezi kumuacha nyarandu huo ni uongo mtupu amwache aone kama kesho itafika , inawezekana mashoga wake wanamponza
 
But namuaminiaga Lazaro yeye huwa anacheza na mabinti warembo tu

Hicho ndicho kipaji chake, mabinti kila kona, siku akiwa raisi si ndo ikulu itakuwa dangulo? Aunt ezekiel awe first lady? My gosh!
 
Nimekusoma,Ila hiyo ya nyala kuwa ni msosi Niliwai kusikia Miaka 5 Iliyopita
 
Nyalandu ni mnyiramba ila ni wale wanaoitwa wanyisanzu ambao basically ni wanyiramba tuu...ni sawa na wanyantuzu ni wasukuma tu wa bariadi...njoo vile mkuu.

Acha uongo na kujifanya mjuaji
Nyalandu mnyaturu
Faraja Mdigo
Nyalandu mbunge wa Singida Kaskazini
 
But namuaminiaga Lazaro yeye huwa anacheza na mabinti warembo tu

Wengine wabaya...kuna demu mmoja alikutana nae kwenye ndg jina namuhifadhi demu alikua anaenda msalani...jamaa kamind kijitako...akamtokea..wakaanza kugegedana mahotel mbali mbali mpk leo..ukimuona huyo demu mmhhh...utasema huyu mwanaume vipi...vihips na tako vimemchanganya...shamless man
 

dahhhh
 
Kabla ya kuolewa faraja angeuliza kwanza backgound ya Nyarandu, Nyarandu ni dhaifu kwa wanawake, namfahamu tangu akiwa raisi wetu wa UKWATA 90's

Duh kumbe!!!mara chache sana wanaookota pochi la ela uliizia ni la nani?
 
Kabla ya kuolewa faraja angeuliza kwanza backgound ya Nyarandu, Nyarandu ni dhaifu kwa wanawake, namfahamu tangu akiwa raisi wetu wa UKWATA 90's

Basi utakua Ex Kibaha Sec.
 
Reactions: ram
Acha uongo na kujifanya mjuaji
Nyalandu mnyaturu
Faraja Mdigo
Nyalandu mbunge wa Singida Kaskazini
Awe mnyaturu,au mnyiramba au mdigo au muha who cares??muhimu tu huyu hawezi kuwa rais wa Tz ...cv yake ni mbovu ona sasa anazaa na msanii "cha Wote" ...akina Jack pemba wawe walishare na rais wa TZ...nooo ....aibu...only in bongo.
 
Mh Jmn izi ndoa za matajiri ni sheedaaa. Mkewe mstarabu mume kaishika mkononi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…