Ndoa ya Mke Mmoja ni Ukatiri wa Kijinsia kwa Mwanaume

Huu ndo unyama sasa
 
Vitisho vya kutengwa na ukifa hatuziki vinafanya watu waache tamaduni zao za asili
Inabidi tupae juu hiyo hofu.
Watu walizikwa kabla ya hizi dini kuja, na hata leo bado wanazikwa na ndugu na jamaa zao.

Kuzikwa kidini hakuna faida yoyote.
 
Inabidi tupae juu hiyo hofu.
Watu walizikwa kabla ya hizi dini kuja, na hata leo bado wanazikwa na ndugu na jamaa zao.

Kuzikwa kidini hakuna faida yoyote.
Sasa ndio hivyo alafu kuna wale Mwanamke akizaa tu kabla ya Ndoa anatengwa na kanisa na akifa wanasema hawataki kumzika
 
Utawezaje kuamua juu ya feelings za mtu mwingine au watu wengine? Sijafanya utafiti, lakini kwa wanawake ambao nimeweza kuongea nao wanaonyesha ndoa ya wake wengi michepuko ni nje nje.
Ndio sijakataa ndio maana hapo nasema kwamba kwa mujibu wa discussion yetu Mimi na huyu bibie nilikua namnyapia nilile tunda lake amesema kwamba Mwanaume kua na Mwanamke mmoja ni Ukatiri Mwanaume inabidi awe na Mwanamke zaidi ya mmoja, ushaelewa yeye akakubari na ku-suggest yupo tayari Mwanaume wake aongeze Mwanamke mwingine wa pili Ila asimfiche amwambie huyo nae pia namlala
 
Kwa wanaume gan hawa hawa 🤣🤣🤣 wanaume ngoja niwapasue ukwel saiv hamna lolote nguvu hamna tunawaonea huruma tu puuuuuuuuuh....
.

Hela sasa ndo mamaaaaaaa🤣🤣🤣🤣
Hata baba yako
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…