Ndoa ya Msanii Shamsa Ford na Chid Mapenzi yavunjika rasmi

Ndoa ya Msanii Shamsa Ford na Chid Mapenzi yavunjika rasmi

Hata angezaa people would still find fault why amezaa.

Am speaking as a woman, huenda anapoingia ndani ya ndoa her intuition spoke to her to chill out na asikimbilie kuzaa. Either that or simply hakushika ujauzito.

Wanasemaga once bitten, twice shy. Picture being single again, stuck with another child.
Matumizi ya vidonge vya majira ya muda mrefu pia hukimbiza uzazi. Hao wote uliowataja walizaa kabla. Hofu ya kuwa stuck na watoto kadhaa bila ndoa kama unavyosema inaweza ikawafanya watumie sindano na vidonge wakisubiri ndoa rasmi. Na ndoa ikija ndio hapo uzazi umeshakimbia. Hili tatizo hukumba wanawake wengi wanaochelewa kuolewa. Vizazi vinakuwa vimeshaoza Kwa matumizi ya vidonge/sindano kwa muda mrefu.
 
Ni kweli nimeona wote aliowataja wana watoto, nadhani wameshaonja machungu ya kulea watoto peke yao hawataki kukurupuka tena. Nimeuliza Riyama maana nilijua yule mtoto amezaa na mumewe
Anamaanisha wakiingia kwenye ndoa wagumu kuongeza watoto.

Wote aliowataja wana watoto ila kwa ndoa zao mpya hawajaongeza
 
Itakua wa mumewe(sina uhakika)
Ni kweli nimeona wote aliowataja wana watoto, nadhani wameshaonja machungu ya kulea watoto peke yao hawataki kukurupuka tena. Nimeuliza Riyama maana nilijua yule mtoto amezaa na mumewe
 
Kwa statement hii tumuombee sana Lulu
Matumizi ya vidonge vya majira ya muda mrefu pia hukimbiza uzazi. Hao wote uliowataja walizaa kabla. Hofu ya kuwa stuck na watoto kadhaa bila ndoa kama unavyosema inaweza ikawafanya watumie sindano na vidonge wakisubiri ndoa rasmi. Na ndoa ikija ndio hapo uzazi umeshakimbia. Hili tatizo hukumba wanawake wengi wanaochelewa kuolewa. Vizazi vinakuwa vimeshaoza Kwa matumizi ya vidonge/sindano kwa muda mrefu.
 
Ndio wanaume wa sasa walivyo wotee.
Koma ww. Hao n Wanaume takataka mnaojipenzisha nao sio sisi wengine.Maana mnata vijaume vishabaro vinavyojipoa karibia kufanana na nyie halaf bado mnataka wawe full responsiblle..haiwezekan.Ma gentle men hamtutaki wakat ndio tuna run show mnakimbilia kwa wanawake wenzenu wenye jinsia za kiume.
 
Ni kweli nimeona wote aliowataja wana watoto, nadhani wameshaonja machungu ya kulea watoto peke yao hawataki kukurupuka tena. Nimeuliza Riyama maana nilijua yule mtoto amezaa na mumewe
Mtoto wa riyama sio wa huyo ben10,
 
Siku chache baada ya ndoa bibie alisema kaolewa sababu kamuonea huruma jamaa kisa alimchuna vitu vingi

Vijana wa leo hawana mafunzo ya ndoa
Duh! Kumbe jamaa alihurumiwa tu? Kazi kweli kweli!
 
Nakubaliana na wewe.

Lakini sidhani kama muda wa kukaa na kumsoma mwanaume ni baada ya kuingia kwenye ndoa.
Namaanisha unatakiwa umjue mwanaume wako kabla haujaridhia kuingia naye kwenye maisha ya ndoa.

Kwa sababu kuolewa na kuachika /au kuacha mara kwa mara nayo siyo sifa nzuri .

Let's assume alikuwa anacheki mwelekeo wa upepo..basi hii inaweza kuwa pia sababu ya mwanaume kucheat na kuruka ruka, kwa sababu haiwezekani hautaki kunizalia miaka na miaka unanichunguza tuu.

Ndoa nyingi zinadumu kwa ajili wa watoto, baba anaona kuliko akachit akaleta maradhi ndani mtoto abaki yatima au aachane na mama wa mtoto bora aache.

Unless hana uwezo wa kuzaa.

Do you actually think you will learn everything about a man before you get married to him?

Haupo serious.
 
Hii ndoa imemrudisha nyuma sana Shamsa Ford kikazi. She was doing very well with her career na alikuwa na kiu ya kweli ya kufika mbali lakini tangu aolewe naona akawa doro.

Kwa sasa vile yuko huru, afocus tu kwenye kazi yake na aende mbele kwa mbele. Kwanza ni motivation nzuri kwake ya kukimbia kwa spidi zote vile now she calls the shots all by herself once again.

All the best kwake. Muhimu ameshatoa gundu.
machangu utawajua tu
 
  • Thanks
Reactions: T11
Ndoa ya Muigizaji wa Bongo movies Shamsaford na Chidd Mapenzi imeingia doa, kisa na Mkasa Bado Hakijawekwa Wazi..

Chanzo cha habari Shamsa mwenyewe kama inavyoonekana pichaniView attachment 1099297

Hapa akimjibu shabiki wakeView attachment 1099302
Tanzania.....sasa huyu ndo nani!!!!????
Hiyo career aliyokuwa anafanya vizuri mpaka watu wengine tusimfahamu ni ipi!!??? Au ndo hiyo ya kutembeza mitumba maofisini!? Nchi hii aibu sana kwakweli.
 
[emoji38][emoji38] uongo hapo ni upi? Kuna sehemu nimesema duka lilikuwa la Shamsha? Gari ni matunda ya bongo movie ya dada wa watu. Walokuwa wanajua duka la mwanzo la chid kabla halijafungwa then likahamishwa nahic wataelewa ninavyosema shamsha alikuta chid kashaanza kufulia btw mda mwingi Chid anakuwa china kutembeza wafanyabiashara akilipwa ndo alikuwa anatuma mzigo kiasi ili duka lisiwe empty
Bongo movie gani inampa mtu gari? Hii ya kumuuzia muhindi movie kwa 2M!!????? Hamuwezi kuwa serious.
 
Hili nalo ni tatizo kwenye ndoa nyingi, sema na hawa ma star hawapendi kuzaa japo wanapenda kuolewa,
Angalia shilole, riyama, uwoya, sister fey hawa wote waliolewa kwa ndoa lakini waligoma kuzaa. Siamini kama wote ni uzazi.
sio kila mwanamke ni mzazi wengine ni bodi tu,mtoto wa kike akikua kidananda bila uangalizi wa wazazi kwa ukaribu ,ni ukweli usiopingika kabla ya kumaliza form four anakuwa ameshatoa mimba sita.akiolewa akakosa mtoto anaanza kusingizia wachawi,mawifi,mama mkwe na akitoka hapo anaanza figisu za kuokoka ili afiche makucha yake na mwishowe ni kumuua mwanaume ili amiliki mali.
 
Hii ndoa imemrudisha nyuma sana Shamsa Ford kikazi. She was doing very well with her career na alikuwa na kiu ya kweli ya kufika mbali lakini tangu aolewe naona akawa doro.

Kwa sasa vile yuko huru, afocus tu kwenye kazi yake na aende mbele kwa mbele. Kwanza ni motivation nzuri kwake ya kukimbia kwa spidi zote vile now she calls the shots all by herself once again.

All the best kwake. Muhimu ameshatoa gundu.
Kukaa uchi ndio alikuwa anafanya vuzuri, doohh,
 
Back
Top Bottom