Ndoa ya msanii Shetta na mke wake yavunjika, chanzo ni Rose Ndauka

Money Stunna

JF-Expert Member
Joined
Aug 9, 2011
Posts
13,053
Reaction score
6,304
Ile habari ya msanii shetta kulala chumba kimoja na rose ndauka uko morogoro imevunja Ndoa na mke ameondoka rasmi na amekataa zawadi ya gari..

========

Ndoa ya Shetta imevunjika…. Mke wake kakataa pia hii zawadi aliyopewa.


Usambazaji wa picha kwenye mitandao siku hizi umekua na nguvu kubwa sana, picha inaweza kusambazwa ndani ya dakika 20 ikabadilisha mambo mengi sana kwenye maisha tunayoishi.

Nakukutanisha na msanii wa bongofleva Shetta ambaye alikuja kwenye studio za Millard Ayo na kukubali kuweka wazi kuhusu kuvunjika kwa ndoa yake ambayo haina hata miaka mitano.Unataka kuona alichosema kuanzia mwanzo mpaka mwisho? unataka kuona picha ya zawadi aliyomnunulia mke wake na bado akaikataa?

Tazama video hii hapa;


Chanzo: MillardAyo


 
Last edited by a moderator:
Wanaovujna ndoa ni wanandoa wenyewe. Period.
 
Hhhhaaaa kadenguaa huyu rose nae yamemshinda yake kazi kujikomba kwa waume za watu
 
Nampenda lakini sina kitu chikolobo
Sijui ninini mavitu chikolobo
Wana roho za pakashume chikolobo
 
Huyo mwanamke nae alikuwa na yake
 
Hhhhaaaa kadenguaa huyu rose nae yamemshinda yake kazi kujikomba kwa waume za watu

Yani mimi gari nachukua afu ndo naendelea kususa.
Ila sidhan kama huyo mama qayla kaondoka kisa story tu huenda kuna mambo alokua akimshuku kwa mida mrefu baina yake na huyo rose kwa iyo akakamilisha shauku yake.
 
Yani mimi gari nachukua afu ndo naendelea kususa.
Ila sidhan kama huyo mama qayla kaondoka kisa story tu huenda kuna mambo alokua akimshuku kwa mida mrefu baina yake na huyo rose kwa iyo akakamilisha shauku yake.

Dats how it z,yan hii bongo muv cjui nan aliacha ameilaan af akafa mana kla ck ina vimbwanga vpya cjui ntaingiaje kwny chama hili ila bc 2 mrad najua nachofanya so ntakua mwangalif sana,ee Mungu nisaidie
 
Abaki nayo gari Yake kwani gari kitu gani, anamfikicha mwenzie roho bila sababu... Muone sura Yake .. Anajiramba ramba kamaa mbuzi...
 
Labda anacopy kwa best yake domo, mana kubadilisha wanawake ni jadi
 
Sio shetta wala mkewe wote ni malaya tu.Tena mkewe ndio kazidi sijui huyo shetta alikua anamng'ang'ania nini!
Mume akienda kufanya show mke naye anaenda kufanya show na michepuko,uchafu mtupu!
 
Yani mimi gari nachukua afu ndo naendelea kususa.
Ila sidhan kama huyo mama qayla kaondoka kisa story tu huenda kuna mambo alokua akimshuku kwa mida mrefu baina yake na huyo rose kwa iyo akakamilisha shauku yake.

Mama Qaillah kakolezwa na michepuko mama wala usiumize kichwa kuhusu hili.
 
Nampenda lakini sina kitu chikolobo
Sijui ninini mavitu chikolobo
Wana roho za pakashume chikolobo

Hahahaaa!Huu wimbo kanikera tu alivyoiga lile beat la wanaija.
 
Sio shetta wala mkewe wote ni malaya tu.Tena mkewe ndio kazidi sijui huyo shetta alikua anamng'ang'ania nini!
Mume akienda kufanya show mke naye anaenda kufanya show na michepuko,uchafu mtupu!

inaonekana unawafaham vizuri sana
 
Abaki nayo gari Yake kwani gari kitu gani, anamfikicha mwenzie roho bila sababu... Muone sura Yake .. Anajiramba ramba kamaa mbuzi...

Hahahaaa,laiti ungejua?
 
Yani mimi gari nachukua afu ndo naendelea kususa.
Ila sidhan kama huyo mama qayla kaondoka kisa story tu huenda kuna mambo alokua akimshuku kwa mida mrefu baina yake na huyo rose kwa iyo akakamilisha shauku yake.

Hhhhaaaaa kavumilia kachokaa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…